Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,381
hebu njoo inbox kidogo
Mmh! Utakimbiwa na wanaume wa Dar. Huku ni viroba na zile bia za Ukawa ndio zinawaweka mujini...Mbege inatosha
Umemkaribisha vemaa sanaKaribu sana mkuu ila epuka mihemuko humu, maana kuna jamaaa kwenye Facebook kwaajili ya mihemuko yake ananyea ndoo au million 7 ada ya schule watt wake.
1.Humu watt under 25 ni wengi sana. ..usichoke kuwapuuza na usichoke kuleta hoja tuifanyie kazi,
2.Ondoa uchama utafika mbali
3.Heshimu kila mtu maana tunajuana kwa ID tu ila kuna wazee wa heshima sana ,ambao kwao ni ma chielf.
4. Leta hoja au habari ambayo ulisha ifanyia kazi na ukiwa na evidence.
5.Ondoa udini. .usipofanya hiyo hoja jako itafutwa.
6.Mengine utajifunzia humu kwenye hoja.
Karibu sana mkuu
Kweli Mkuu, kuuficha uhalisia ni ngumu.Wakongwe utawajua kwa majibu tu!
Huku ni kitwanga tuMmh! Utakimbiwa na wanaume wa Dar. Huku ni viroba na zile bia za Ukawa ndio zinawaweka mujini...
eventhough i need to be as your spare-tyreNimeolewa
nyie wachanga nyieNew member in the jf lounge looking forward to share a lot with you guys intellectually.
Mnipokee muchaga halisi from KLM ...
Mnalalamikiwa sana kuhusu kuwateka wanaume kimazngaraNn shida ?
Kiuhalisia ni kweli kabisa maana mifano ipo mingiHahahah!
Hizo ni stori tu . Si unaelewa watanzania tunaongozwa na KIKI au propaganda
Nasikiaga eti mke wa mtu ni mtamu, hebu njoo PM nitest kama ni kweli dear!Nimeolewa