Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Karibu mkuu uliyeamua kuwa "members"!Come,karibu!hellow members,am new here..japo nimekua msomaji kwa muda WA miaka kama 4..now nimeamua niwe members...say hello,
Yani baada ya kuingia na kuanzisha thread na kuchangia kadhaa bado unajiita mgeni? We si mgeni mhenga mwenzetu
Karibu mkuu uliyeamua kuwa "members"!Come,karibu!
hahaha haya mzee ngoja tutaonaKaribu mgeni mtata mm mwenyeji wako ni zaidi ya mtata walishakosa jina la kunipa walijaribu kuniita hitre nikaonekana nimezidi kuliko yy wakajaribu.kunilinganisha na kiduku hata kwenye kiganja changu hakuenea.hivyo huo utata wako uuache nje ya geti langu.
We umejoin tarehe 4 march leo ndio umekumbuka kukaribishwa?hellow members,am new here..japo nimekua msomaji kwa muda WA miaka kama 4..now nimeamua niwe members...say hello,
Mambembeeeeeee[emoji85] [emoji85]Una ugeni gani mtu unayejuaa mpka kutuma sms PM??
pm ndo nn mkuu??Una ugeni gani mtu unayejuaa mpka kutuma sms PM??
haha wewe mchokozi nakujua..staki ugomvi niwache asee..umesema unataka picha ya "mguu wangu" never know kma nudes znaruhusiwa humu.Hahahahahhaa it's funny.
Wengi wanaomba kukaribishwa wakiwa wageni siku ya kwanza wanapopewa access ya ku post.
Sasa wewe umesubiri hadi umekuwa Senior Member ndo unaomba kukaribishwa.... hehehehh
Halafu nani kakwambia wewe ni Mtata? Aliyekambia kakudanganya, kama kweli wewe mtata hebu badili avatar weka picha ya miguu yako halisi au mkono wako. Hapo ntajua kuwa kweli wewe mtata hahaha.
Hii msg niliiandika jana usiku ila naituma saa hizi.... usiniulize kwanini.
Baada ya yote mie sio jamvi la wageni hivo hata sikukaribishi, ngoja walioko kwenye kamati ya mapokezi wenye jamvi waje kukupokea na kujukaribisha.
Kwaheriii mgeni mtata, (kale kakitambulisho kako ka zamani usikaache mara moja moja uwe unakatumia kasisahaulike. .... Japo kipya kinyemi hehehehh)
Kasie Matata.
haha wewe mchokozi nakujua..staki ugomvi niwache asee..umesema unataka picha ya "mguu wangu" never know kma nudes znaruhusiwa humu.
hahaha yeah nilianza na makeke kidogo.si unajua kuku mgeniWe umejoin tarehe 4 march leo ndio umekumbuka kukaribishwa?
haha tayari nshatuma..Hahahahahahaa zinaruhusiwa bana wee weekaaa hakuna atayekuuliza. Mie mwenyewe nina ufunguo ntakufungulia iwapo watajaribu kufanya chochote kitu.
Niamini wee weka tuu, uchokozi ndo hulka yangu siwezi acha labda ukae mbali nami hehehee.
huko sipo bossWewe ni wa chama gani kabla sijakupa soda?