mwali wako
Member
- Oct 22, 2018
- 36
- 29
- Thread starter
- #21
[emoji106][emoji106]Sawa! Mwali me nimependa jina lako tu[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106][emoji106]Sawa! Mwali me nimependa jina lako tu[emoji4]
[emoji106][emoji106]
Nikuambie kitu
Kidogo tuu
Sasa nikuambie kidogo una maana gani?
Mgeni unamjua hadi shunie!!
Karibu mwali utakutana na manyakanga,makungwi humu cha muhimu mwali
Ukimpenda mtu humu tuambie tucheze ngoma humu humu(za kizaramo)
Sasa mimi nataka nikuambie sana, kidogo siweziNiambie kidogo sio sana
Kamanda Endelea Hapo Maana Ni Mali Mpya Kabisa Tuwakilishe Vyema Huko MzaziAisee.! Na wewe hushindwi, kabisaa
Kamanda Endelea Hapo Maana Ni Mali Mpya Kabisa Tuwakilishe Vyema Huko Mzazi
Sasa mimi nataka nikuambie sana, kidogo siwezi
Aah vibaya hivyo, sasa[emoji30][emoji22]Na Mie sana siwez?nimezoea kidogo
Aah vibaya hivyo, sasa[emoji30][emoji22]
PM unakujua au Kwa kirefu private meseji? (INBOX) Njoo huku[emoji85][emoji85][emoji85]
PM unakujua au Kwa kirefu private meseji? (INBOX) Njoo huku
??Nakusikiaga tu, ila nasikia huwaga ni mbali kwelikweli
Weee..! Sio mbali ulisikia wapi??
Humu humu,
[emoji23][emoji23] noma sana ila kimsingi naielewa jf lolote laweza kuaPale unapokuja kugundua unabishana na dume mwenzako