Karibu sana. Ila hata mimi nitoe pongezi kwa Ulimakafu, Globu, na Watu8, nadhani watakuwa member wachache sana ambao hawajakaribishwa nanyi humu jamvini. Niwatakie afya njema wakuu na Mungu azidi kuwabariki.
Karibu sana. Ila hata mimi nitoe pongezi kwa Ulimakafu, Globu, na Watu8, nadhani watakuwa member wachache sana ambao hawajakaribishwa nanyi humu jamvini. Niwatakie afya njema wakuu na Mungu azidi kuwabariki.