Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
[emoji23][emoji23][emoji23]usije ukasema Mimi ndiye niliyegonga chizi. Hapana mkuu nilikuwa nasoma tu kama guest.Mbona inaonekana kama umeshawahi kuchangia uzi wa kimasihara..
Me. Nimejiunga kwaajili ya @shapeless ili nione huo ushepulesi wake[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Jinsia tafadhali?
Asante
wewe ni Me, alafu ni chakula, tena kibaya. Oh ok tunazidi kujifunzaMe. Nimejiunga kwaajili ya @shapeless ili nione huo ushepulesi wake[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Hapana mkuu,Uzi wa kimasihara nimeanza kuufuatilia tangu 2019 kama sijasahau.[emoji23][emoji23][emoji23]Ulikuwa ukifuatilia uzi wa tunda kimasikhara tangu 2014?
Itakuwa ndio wewe maana Ile siledi Ina matukio lukuki why uli-target Hilo moja? Ila hongera maana prrrrr mpaka Maca ni prrr mpaka Maka tu (UTELEZI NI UTELEZI TU)[emoji23][emoji23][emoji23]usije ukasema Mimi ndiye niliyegonga chizi. Hapana mkuu nilikuwa nasoma tu kama guest.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chakula kibaya haliwi hata nauli.Unajiita jina la kujihami ili usilike utalika tu kama ni Ke au kama ni Me tunamkabidhi mzabzab
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo tukio lilinichekesha Sana,pamoja na la yule jamaa kugonga nguruwe kwenye banda.Itakuwa ndio wewe maana Ile siledi Ina matukio lukuki why uli-target Hilo moja? Ila hongera maana prrrrr mpaka Maca ni prrr mpaka Maka tu (UTELEZI NI UTELEZI TU)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo tukio lilinichekesha Sana,pamoja na la yule jamaa kugonga nguruwe kwenye banda.
Kuna watu Wana dhambi dunia hii[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ikitokea wale wote tuliotoa ushuhuda kwenye Uzi wa kimasihara tukutane hata Mlimani City kwa ajili ya kongamano na Kila mmoja akumbushe alichangia nini,, huyo jamaa aliyegonga nguruwe daaah.. ALITUHARIBIA MBOGA TU
Wasipokuelewa na hapa, watakuwa ni wa ajabu[emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]usije ukasema Mimi ndiye niliyegonga chizi. Hapana mkuu nilikuwa nasoma tu kama guest.