Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wakati naisoma title ya uzi wako, NILIDHANI UNAANISHA MGENI RASMI KIBU DENGA..!!!Habari wanajamii forums
Naitwa nyamwii255 naomba ushirikiano wenu
Ahsante.
CC Kalpana, GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati naisoma title ya uzi wako, NILIDHANI UNAANISHA MGENI RASMI KIBU DENGA..!!!Habari wanajamii forums
Naitwa nyamwii255 naomba ushirikiano wenu
Ahsante.
Stress za maisha watu wanapumzikia JFIla nyamwi una vituko! Usikute ni mbaba mwenye wajukuu kabisa ila jf unajitoa akili😂
Hahah au sioWakati naisoma title ya uzi wako, NILIDHANI UNAANISHA MGENI RASMI KIBU DENGA..!!!
CC Kalpana, GENTAMYCINE
Tutakosa burudani.Tunamuandaa akawinde bundi na ngedere kandokando ya SGR pale "Mlogolo"!Hili jinga liunganishwe I'd zake zote na lipigwe Life ban
Labda anataka uongozi jf😁yanini kumchoma..... Je itakusaidiaje ?
Mbn mi ni mgeni jamani mi sio nyamwi255 mimini nyamwii255 na huyo si mfahamu mimi ni mgeniTutakosa burudani.Tunamuandaa akawinde bundi na ngedere kandokando ya SGR pale "Mlogolo"!
Haina shida.Kuruta mpya lazima upangiwe majukumu ya lindo Morogoro hadi bundi na ngedere watokomee.Mbn mi ni mgeni jamani mi sio nyamwi255 mimini nyamwii255 na huyo si mfahamu mimi ni mgeni
Hapana huyo si mimi mimi ni mgeniKutoka Nyamwi hadi Mwinya mpaka Nyamwila. Leo Nyamwii, nimekupenda bure we mama
Basi sawa, mwenzko siwez kulala bila kukuona weweHapana huyo si mimi mimi ni mgeni
HAhahahaHili Nyamwii255 litakuwa tapeli. Sasa ID zote hizo na stori za uongo za nini?
Aya sawaHili Nyamwii255 litakuwa tapeli. Sasa ID zote hizo na stori za uongo za nini?
Karibu Mgeni rasmi kwenye tukio letu hili muhimu la leo.Habari wana JamiiForums,
Naitwa nyamwii255 naomba ushirikiano wenu
Ahsante.
Shukrani sana mkuuKaribu Mgeni rasmi kwenye tukio letu hili muhimu la leo.
GT ni nani ?Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.