Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,012
- 5,612
Hii ilinipata nikiwa night shift jana usiku,mwali naona upo bussy na ugeni
nikachukua kalam na kuanza kumwaga mistari. :A S-omg:
Haya ndio mambo yanayo nifanya nimmiss shangazi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilinipata nikiwa night shift jana usiku,mwali naona upo bussy na ugeni
yale yaleeeeeeeeeeeee,ninakotaka mimi ni hapo tu......lol,konnie wawaza hilo tu?sidhani chakula kiongelewacho ni cha kwenye masinia, someni kati kati, chini na juu ya mistari.
yale yaleeeeeeeeeeeee,ninakotaka mimi ni hapo tu......lol,konnie wawaza hilo tu?
Umenikumbusha story ya my late bro!
Aliksribishwa lunch, na mdada alikuwa anamfukuzia (lsevya Tbr); kaenda na mshkaji wake. My bro was starving n the food was mmwah! Kwa wanaowajua wadada wa kinyamwezi wa enzi zile (sio kina sisi) watakuwa wanaelewa nikisema the food was mmwah!
So, mdada wa watu (sijui ndio mila) akawaacha wale; yeye kaenda uani kuendelea na shughuli zake. My bro kafukumia lile punga na kuku wa kienyeji, akafuta. His buddy, hakuwa mlaji sana, alibakisha chakula. So my brother baada ya kusikia movement sign ya mshori kuja; akanadilisha plate. Yake iliyo clean kaisogeza kwa mshikaji na ya mshikaji yenye mabaki akaiweka kwake!
Mdada alivyoanza kutoa vyombo; akamuuliza buddy wa bro "shemeji nikuongeze chakula?".
You can imagine nini kilichotokea baada ya my bro na buddy wake kurudi ufisini!
Mgeni siku ya kwanza???????????usijifanye mjuaji......
Pembeni kuangalia, kila dakika macho chini.....
Tabasamu tupilia.lakini liwe la mbali.....
Mgeni siku ya kwanza...usijifanye mjuaji.....
Nina ugeni mahali leo
thax kwa tips..........
ahahaaa safi kaka gudluck ya nini bwana...?good luck smile,am happy for you.mzima madogo angu jamani