Umenikumbusha story ya my late bro!
Aliksribishwa lunch, na mdada alikuwa anamfukuzia (lsevya Tbr); kaenda na mshkaji wake. My bro was starving n the food was mmwah! Kwa wanaowajua wadada wa kinyamwezi wa enzi zile (sio kina sisi) watakuwa wanaelewa nikisema the food was mmwah!
So, mdada wa watu (sijui ndio mila) akawaacha wale; yeye kaenda uani kuendelea na shughuli zake. My bro kafukumia lile punga na kuku wa kienyeji, akafuta. His buddy, hakuwa mlaji sana, alibakisha chakula. So my brother baada ya kusikia movement sign ya mshori kuja; akanadilisha plate. Yake iliyo clean kaisogeza kwa mshikaji na ya mshikaji yenye mabaki akaiweka kwake!
Mdada alivyoanza kutoa vyombo; akamuuliza buddy wa bro "shemeji nikuongeze chakula?".
You can imagine nini kilichotokea baada ya my bro na buddy wake kurudi ufisini!