Mgeni siku ya kwanza - kula na kubakisha?

mwali naona upo bussy na ugeni
Hii ilinipata nikiwa night shift jana usiku,
nikachukua kalam na kuanza kumwaga mistari. :A S-omg:

Haya ndio mambo yanayo nifanya nimmiss shangazi...
 
sidhani chakula kiongelewacho ni cha kwenye masinia, someni kati kati, chini na juu ya mistari.
yale yaleeeeeeeeeeeee,ninakotaka mimi ni hapo tu......lol,konnie wawaza hilo tu?
 
ubaya wangu mie sifumbii macho ukweli.

Wanaongelea wali ng'ombe wakati tunaongelea maini ya simba mzee ndiyo yenye madini ya chuma mengi.

yale yaleeeeeeeeeeeee,ninakotaka mimi ni hapo tu......lol,konnie wawaza hilo tu?
 

Mwee ilumbuye
 
ubaya wangu mie sifumbii macho ukweli.

Wanaongelea wali ng'ombe wakati tunaongelea maini ya simba mzee ndiyo yenye madini ya chuma mengi.
Kongosho, wewe ukiwa ugenini unakula na kumaliza?
 
Last edited by a moderator:
Mgeni siku ya kwanza???????????usijifanye mjuaji......
Pembeni kuangalia, kila dakika macho chini.....
Tabasamu tupilia.lakini liwe la mbali.....
Mgeni siku ya kwanza...usijifanye mjuaji.....
Nina ugeni mahali leo
thax kwa tips..........

Good luck Smile,am happy for you.Mzima madogo angu jamani
 
Mwali. kumaliza si ishu sana, ishu ni mwenyeji anapenda nini bila kuniumiza mgeni.
Lazima nifurahie chakula huku nikimsoma mwenyeji wangu lol

Kongosho, wewe ukiwa ugenini unakula na kumaliza?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…