Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,500
- 343
Ebu sikia hii, jamaa kamtongoza rafik kwa mda kama miez 6, dem kamkubalia tangu novemba..now wamekuwa wapenz ila dem hamuelew mshkaj sa iv ham2mii mesej kila siku kama zaman, inaweza pita siku mbili hawajawasiliana, hii imekaaje wadau, 1.jamaa hana crdt
2. Kashagundua dem kazama tayar hvo anapima upepo
3.au ndo ugen wa mapenz kwa dem kwamba kila cku lazma ajuliwe hali
N:B JAMAA BADO HAJAMMEGA DEM WAKE..
Demu anataka ushaur afanyaje kukabiliana na hi hali na atak kuonekana kapenda sana coz si unajua mwanaume/mke akijua anapendwa sana.
2. Kashagundua dem kazama tayar hvo anapima upepo
3.au ndo ugen wa mapenz kwa dem kwamba kila cku lazma ajuliwe hali
N:B JAMAA BADO HAJAMMEGA DEM WAKE..
Demu anataka ushaur afanyaje kukabiliana na hi hali na atak kuonekana kapenda sana coz si unajua mwanaume/mke akijua anapendwa sana.