Mama Eliza
New Member
- Aug 15, 2024
- 1
- 14
Tajiri huna bayaKuna sehemu inaitwa pm uwe makini nako mgeni
Tajiri umepoaaKuna sehemu inaitwa pm uwe makini nako mgeni
Muelekeze mgeni pm boss,afahamu machaka ya jfTajiri umepoaa
Kabisa awe makini humu Kuna wavujisha pm hii ndio imeniponza MimiMuelekeze mgeni pm boss,afahamu machaka ya jf
Dah nimemiss hizi mambo dj kubwaππ
Usiniambie watu wameuza file lako bossKabisa awe makini humu Kuna wavujisha pm hii ndio imeniponza Mimi
Ndio mkuu ndio maana badge yangu ya verified imeondolewa hapo ππUsiniambie watu wameuza file lako boss
Hadi Mimi tajiri aisee Bantu Lady Aishi maisha marefu sana Hana bayaDah nimemiss hizi mambo dj kubwaππ
Aisee kwel ndio maana siioni,nilikuwa sijashtukia,dah pole sana bossNdio mkuu ndio maana badge yangu ya verified imeondolewa hapo ππ
Shukrani sana tajiriAisee kwel ndio maana siioni,nilikuwa sijashtukia,dah pole sana boss
Pamoja boss wanguShukrani sana tajiri