Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mama Eliza karibu niambie Binti yetu Eliza anavaa kiatu namba ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hiyo badge huwa inatolewa kwa vigezo gani na kuindolewa kwa vigezo gani?Ndio mkuu ndio maana badge yangu ya verified imeondolewa hapo 😂😁
Utafikir mtakatifu vile😂😂Mama Eliza karibu niambie Binti yetu Eliza anavaa kiatu namba ngapi?
Swali zuri sanaHivi hiyo badge huwa inatolewa kwa vigezo gani na kuindolewa kwa vigezo gani?
Jombaa tuliaaa, Eliza hawezi teseka na Mimi nipo lazima nipambane usiku na mchanaUtafikir mtakatifu vile😂😂
Sawa boss,mda utaongea😂😂Jombaa tuliaaa, Eliza hawezi teseka na Mimi nipo lazima nipambane usiku na mchana
Soma hapa bosiHivi hiyo badge huwa inatolewa kwa vigezo gani na kuindolewa kwa vigezo gani?
😂😂😂Sawa boss,mda utaongea😂😂
Asante sana mkuu... wacha nishuke nayo mdogo mdogoSoma hapa bosi
👇👇👇👇
JamiiForums: Unaweza kuwa VERIFIED, fuata hatua hizi
Wakuu, Kumekuwa na maombi kadha wa kadha ya watu kutaka kuwa verified. Tumeona vema tuweke urahisi wa mtu kuomba kuwa verified badala ya utaratibu wa awali. Kuwa verified kwako ni kwa hiari yako. Unaweza kusoma Sera yetu ya Faragha kama una concerns zozote > Privacy policy ambayo ina ufafanuzi...www.jamiiforums.com
Ndio ndio 😎 karibu jamiiiforums mkuu jukwaa pendwa sana kutoka kusini mwa jangwa la SaharaAsante sana mkuu... wacha nishuke nayo mdogo mdogo
Lkn boss wangu si kuna uwezekano wa kurudishiwa,maana hapo kama upo uchi vile tushazoea kablue tick flan hv,,ephen_ anajua lkn hili swala😂😂Ndio ndio 😎 karibu jamiiiforums mkuu jukwaa pendwa sana kutoka kusini mwa jangwa la Sahara
Mbona mimi sikuoneshwa 😜😜😜Uje PM mgeni ili nikuonyeshe chumba utakacho lala.
Tugawane majukumu mkuu,wewe msaidie Eliza,na Mimi nimsaidie Mama Eliza mtaji wa kwenda Dubai au China.Jombaa tuliaaa, Eliza hawezi teseka na Mimi nipo lazima nipambane usiku na mchana
Labda hukupokelewa na mimi.Mbona mimi sikuoneshwa 😜😜😜
😅😅😅😅Naomba Funguo sasaLabda hukupokelewa na mimi.
Leo chumba kina mgeni,atalala Mama Eliza.😅😅😅😅Naomba Funguo sasa
😭👏🏻kila Lakheri kwake 😅Leo chumba kina mgeni,atalala Mama Eliza.
Mkuu una buku kumi hapo ya haraka ili nikusaidie badge yako irudi?Ndio mkuu ndio maana badge yangu ya verified imeondolewa hapo 😂😁