Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Welcome... Naona wazee wa fursa walishaanza kukukaribisha kabisa na PM. Utafatwa sana lakini ndio balaa lakujitambulisha mgeni.Hellow guys.!!!
Mimi ni mgeni humu japo nilikuwa huku kama Guest,
Nimejiunga Rasmi Leo.
Naombeni mnipokee.
Asanten
Umejuaje? sio kwel kuna wengne wapo Verified(halisi)Picha ya nini sasa?
Huku si fake identity???
Karibu babyHellow guys.!!!
Mimi ni mgeni humu japo nilikuwa huku kama Guest,
Nimejiunga Rasmi Leo.
Naombeni mnipokee.
Asanten
Picha ya nini sasa?
Huku si fake identity???
Asante sana.Welcome... Naona wazee wa fursa walishaanza kukukaribisha kabisa na PM. Utafatwa sana lakini ndio balaa lakujitambulisha mgeni.
Kwa technique za kuwatosa, wauulize expert; sky, miss chagga, miss natafuta, rubii[emoji3]
Conclusion:
Utakutana threads za kuchekesha, kusikitisha etc. News, binafsi nimepunguza kuangalia TV cause habari zote natoa JF. Utajifunza na kuenjoy. Apart from that, karibu.
-callmeGhost
ndio nmeonYaah nimekuwa msomaji huku kabla sijaamua kuwa member. Ndiyo maana nimejua .
Hata hivyo Mimi siyo verified member
usnfanyie hvyo baby ina maana hyo message hujaionaHapana