Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa baby[emoji7][emoji7]Kheee. Ngoja niangalie
Bonyeza kitufe cha meseji nitumie namba yako, mi pia mgeni."Pm" ndiyo nini hiki?
Kwanini unasema hivyoWewe siyo mgeni
ohooo hebu njoo PMYa nini tena?
umefurahiiHaahahahahhahahahahaha
Nimekutumia meseji pleaseNimeona kwenye profile
Daaah shikamoo kizungu....kwamba ww ni mgeni humu halafu at the same time ulikuwepo km guestHellow guys.!!!
Mimi ni mgeni humu japo nilikuwa huku kama Guest,
Nimejiunga Rasmi Leo.
Naombeni mnipokee.
Asanten
Ha ha ha siyo kwamba sijui maana yake.Daaah shikamoo kizungu....kwamba ww ni mgeni humu halafu at the same time ulikuwepo km guest
Mgeni na Guest zina same meaning
Tuma picha PM kwanguSawa natuma
Karbu sana jukwaani ujifunze na ukutane na changamoto mbalimbali za maisha ya watu humu ambazo zitakujenga piah kwa ambazo ni za msingi.Hellow guys.!!!
Mimi ni mgeni humu japo nilikuwa huku kama Guest,
Nimejiunga Rasmi Leo.
Naombeni mnipokee.
Asanten