Mgeni

Mgeni

Kwanza ukitengeneza account wanakuzuia karibia wiki mbili ndo uanze kuchangia imekuwaje yeye Leo kajua yote hayo
 
Jamani si ni mimi au? What i do, how i do it, where and when nyie shida yenu nini? Nnachora sichori niacheni kheeee.....

Teh teh teh endelea kujidhihirisha na business yako murua nadhani chaka uliloingia limekufanya uje kivingine.
 
Hahahaaa shoga ameshasema na kukubali mwenyewe kua anajiuza na amekubuhu!
Nimeshangaa sana mgeni anayejua kumention! Looh...

Hahaaaa mgeni mwenyeji atakua kwenye biashara huyo mi nilikaa zaidi ya nusu mwaka sijui kumention hadi nikauliza ndo nikaelekezwa huyu anatupiga changa la macho aje kivingine.
 
Hahaaaa mgeni mwenyeji atakua kwenye biashara huyo mi nilikaa zaidi ya nusu mwaka sijui kumention hadi nikauliza ndo nikaelekezwa huyu anatupiga changa la macho aje kivingine.

Ha ha ha ha huyu mgeni mwenzangu wa maajabu sana! Ila ameshasema atafurahi kukutana na wanaume warefu huku kama yeye alivyo mrefu.
Hii kick tuliyompa inatosha maana atawapata wengi tu.
 
Teh teh teh endelea kujidhihirisha na business yako murua nadhani chaka uliloingia limekufanya uje kivingine.

Mambo ya OLD WINE NEW BOTTLE hayo!
Ila shoga huyu mgeni mjanja jamani anajiita siri!
Maana yake ukiwa mjanja kuingia chaka ni SIRI ya ndani!
Ha ha ha ha.
 
Ha ha ha ha huyu mgeni mwenzangu wa maajabu sana! Ila ameshasema atafurahi kukutana na wanaume warefu huku kama yeye alivyo mrefu.
Hii kick tuliyompa inatosha maana atawapata wengi tu.

Hahaaa maana ametaja sifa zake Mara mrefu umri huyu mgeni unique kweli sijawahi ona mgeni wa kujipa promo kwakweli nimependa marketing strategy yake.
 
Mambo ya OLD WINE NEW BOTTLE hayo!
Ila shoga huyu mgeni mjanja jamani anajiita siri!
Maana yake ukiwa mjanja kuingia chaka ni SIRI ya ndani!
Ha ha ha ha.

Hahaaaa mgeni huyu balaa na ni mjanja kuliko nyoka aisee kweli mgeni ana mambo haswaaa.
 
Kwendraaaa, mshamba mkubwa wewe.Weka na picha kabisa na namba zako za simu basi.
Halafu wewe utakua mzoefu humu umebadili upepo kwa id mpya.
Mgeni gani anayejua kumention?
Hahahahaa wadanganye hao hao.

Hahahaaaa hahahaaaa umenichekesha lol icho kichambo hatariii
 
Naona tamthilia...Ila hii si ya kilatino wala kifilipino...wacha nivute jumbo popcorn bucket na unlimited bundle ni enjoy.
 
Naona tamthilia...Ila hii si ya kilatino wala kifilipino...wacha nivute jumbo popcorn bucket na unlimited bundle ni enjoy.

Hahahahaaaa unapeeeenda mwenyewe!
 
Back
Top Bottom