Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Nmeona ulazima ndo maana nkaandika...... hukuona ulazima ndo maana sio thread yako......
Kweli ww mgeni...hata hujui kuwa huo ujumbe haukuwa wako....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmeona ulazima ndo maana nkaandika...... hukuona ulazima ndo maana sio thread yako......
Mmmmh mungu apusha ban kwenye huu ugeni...
Hahhaha ! Hata mie juz juz tu nimejua ku~mention ila jf nilishajiungaga miez miwili ilo pita nilikuwa nasoma tu comment za watu
Jamani si ni mimi au? What i do, how i do it, where and when nyie shida yenu nini? Nnachora sichori niacheni kheeee.....
Hahahaaa shoga ameshasema na kukubali mwenyewe kua anajiuza na amekubuhu!
Nimeshangaa sana mgeni anayejua kumention! Looh...
Hahaaaa mgeni mwenyeji atakua kwenye biashara huyo mi nilikaa zaidi ya nusu mwaka sijui kumention hadi nikauliza ndo nikaelekezwa huyu anatupiga changa la macho aje kivingine.
Teh teh teh endelea kujidhihirisha na business yako murua nadhani chaka uliloingia limekufanya uje kivingine.
Ha ha ha ha huyu mgeni mwenzangu wa maajabu sana! Ila ameshasema atafurahi kukutana na wanaume warefu huku kama yeye alivyo mrefu.
Hii kick tuliyompa inatosha maana atawapata wengi tu.
Mambo ya OLD WINE NEW BOTTLE hayo!
Ila shoga huyu mgeni mjanja jamani anajiita siri!
Maana yake ukiwa mjanja kuingia chaka ni SIRI ya ndani!
Ha ha ha ha.
Kwendraaaa, mshamba mkubwa wewe.Weka na picha kabisa na namba zako za simu basi.
Halafu wewe utakua mzoefu humu umebadili upepo kwa id mpya.
Mgeni gani anayejua kumention?
Hahahahaa wadanganye hao hao.
Haya na tumuite 'MGENI MZOEFU'!
Ha ha ha ha
Hahahaaaa hahahaaaa umenichekesha lol icho kichambo hatariii
Mgeni wa bundi
Naona tamthilia...Ila hii si ya kilatino wala kifilipino...wacha nivute jumbo popcorn bucket na unlimited bundle ni enjoy.