mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Kuna tetesi Acacia wameamua kuanza kufunga mgodi wa Bulyankulu week 5 kuanzia sasa. Acacia wana miliki migodi mitatu Tz ( North Mara, Buzwagi na Bulyankuli).
Kutokana na maelezo yao, Bulyankuli ulikuwa ufungwe 2019 na ni miongoni mwa migodi iliyokuwa inazalisha makinikia mengi na kutegemea mapato ya makinikia kama sehemu muhimu ya faida yake, kutokana na zuio la makinikia wanaamini hauna faida tena kwa sasa. Serikali ya Tz mpaka sasa bado wapo katika meza ya majadiliano na Barrick.
Wito: GoT watoe taarifa rasmi kuhusu kinacho endelea, nia na kusudi la Rais na serikali ni jema ila mkiacha hizi habari tukawa tunapata kutoka kwa maadui zetu mjue zitaambatana pia na upotoshaji na propaganda zao.
Kutokana na maelezo yao, Bulyankuli ulikuwa ufungwe 2019 na ni miongoni mwa migodi iliyokuwa inazalisha makinikia mengi na kutegemea mapato ya makinikia kama sehemu muhimu ya faida yake, kutokana na zuio la makinikia wanaamini hauna faida tena kwa sasa. Serikali ya Tz mpaka sasa bado wapo katika meza ya majadiliano na Barrick.
Wito: GoT watoe taarifa rasmi kuhusu kinacho endelea, nia na kusudi la Rais na serikali ni jema ila mkiacha hizi habari tukawa tunapata kutoka kwa maadui zetu mjue zitaambatana pia na upotoshaji na propaganda zao.