Mgodi wa Kigwase Tanga kuna umasikini wa kutisha, hakuna maji wala umeme

Mgodi wa Kigwase Tanga kuna umasikini wa kutisha, hakuna maji wala umeme

mtungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2021
Posts
270
Reaction score
435
Ni kweli unatoa kalibu madini yote yanayochimbwa duniani; kwanini kule kuna umasikini wa kutisha hakuna maji wala umeme. Kuna mto umba ndo mtetezi wao kwa maji japo yana magadi ukibandika maharage siku mbili hayaivi.

Tabu ni nyingi sana kule hakuna mawasiliano mitandao ya simu haikamati mpka uende sehem maalumu kuna mbuga pia ya Mkomazi japo hakuna ata hotel ya maana pia jua linawaka sana kule nadra kuona jani bichi chini lemeota. Utajili wa kule wa ma teso
 
Sehemu gani yenye mgodi maisha yana afadhari?
 
Maramba ndio kwetu, ulichoandika ndio ukweli. Kinachosababisha hali kama hiyo ni uongozi, lazima wana mkinga tusiwe waoga tuwe wawazi kwamba hata kabla halijagawanyika toka muheza mpaka sasa jimbo la mkinga hatujawahi kupata mbunge mbunifu na mwenye uchungu wa maendeleo ya wengine.

Wote ni walalavi wa fikra hawawezi hata kutangaza uzuri, umuhimu na faida ya rasilimali zilizopo hapo.Mkinga kuna ubunge wa kifalme. Akitoka "ndula" anaingia "kita" tuamkeni wana Mkinga, kama hatuwezi kuwatoa basi tuwakemee au hata kuwakatalia kuwazomea kwa madhaifu yao.

Kwa upande wangu nawakataa wala sioni cha kunishawi toka kwao.Wataniambia nini najua ni wezi na wabinafsi kwa kuwa kwetu kuna "hifadhi ya misitu, milima,hifadhi ya wanyama,bahari za fukwe, bahari za uvuvi,bahari za usafirishaji, Tanga stones, madini ya aina zote, kilimo cha mkonge, karafu, sufi, kakao na mazao ya chakula na mengineyo kama ardhi yenye rutuba, cha ufundi, kambi ya jeshi, chuo cha uhamiaji na ndio mpaka na nchi jirani ya kenya. Kataa umasikini wa kujitakia. 2025 itei
 
Maramba ndio kwetu, ulichoandika ndio ukweli. Kinachosababisha hali kama hiyo ni uongozi, lazima wana mkinga tusiwe waoga tuwe wawazi kwamba hata kabla halijagawanyika toka muheza mpaka sasa jimbo la mkinga hatujawahi kupata mbunge mbunifu na mwenye uchungu wa maendeleo ya wengine...
Bila kuikataa CCM umasikini hauta watoka kamwee!! Kuna mstari mwembamba sana kati CCM na ufukara;;
 
Ni kweli unatoa kalibu madini yote yanayochimbwa duniani; kwanini kule kuna umasikini wa kutisha hakuna maji wala umeme. Kuna mto umba ndo mtetezi wao kwa maji japo yana magadi ukibandika maharage siku mbili hayaiv...
Mbunge wenu nani?
 
Back
Top Bottom