Mgogoro wa Ukraine, Maseneta wa Marekani Wasema Trump Ni Kibaraka wa Putin, Anaongea Kwa Niaba Yake Binafsi

Mgogoro wa Ukraine, Maseneta wa Marekani Wasema Trump Ni Kibaraka wa Putin, Anaongea Kwa Niaba Yake Binafsi

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Maseneta mbalimbali wanasema hawakubaliani na mtazamo wa Putin katika kuumaliza mgogoro wa vita ya Ukraine kwa vile Trump anatumika na Putin kulazimisha matakwa ya Putin.

Jumatano iliyopita, Rais Trump akiwa Miami alisema kuwa Zelenskyy lazima akubaliane na mpango wa kumaliza vita, au la ajiandae kukosa Taifa la kuongoza.

Maneno hayo ya kibabe ya Trump yameshambuliwa na wademocrat na baadhi ya warepublican kwa vile mvamizi amepewa kipaumbele dhidi ya aliyevamiwa.

Maneno mengine ya kejeli yaliyolalamikiwa na Wamarekani ni pamoja na Trump aliposema, 'fikiria a comedian anaongea na Serikali ya Marekani, halafu Marekani inakubali kutumia dola bilioni 350 kwenye vita ambayo Ukraine haiwezi kushinda, vita ambayo haikustahili kuwepo".

Lakini mkaguzi mkuu wa Serikali anasema Marekani ilitumia dola bilioni 183 kwenye vita ya Ukraine, siyo dola billion 350. Kwa hiyo Trump ni muongo.

Trump pia alieleza kuwa Ukraine ndiyo ilianzisha vita, kauli ambayo imewashangaza watu wote, kwa sababu ni ya uwongo.

Seneta wa New York Chuck Schumer, amesema kuwa ni aibu kubwa kwa Rais wa Marekani kujitenga na marafiki na kuamua kushikamana na jambazi Putin.

Seneta John Kennedy amesema kuwa hakubaliani kabisa na Trump kuwa eti Ukraine ndiyo chanzo cha vita. Akasema kuwa anajua kuwa Putin ni mhuni mwenye moyo mweusi ulioonja ladha ya udikteta wa Stallin.

Seneta Dirk Drbin amesema kuwa maneno ya Trump ni matusi kwa Waukreni waliopoteza maisha na ndugu zao. Na amemtaka Trump awaombe msamaha wananchi wa Ukraine. Akaongeza kuwa Trump ni kibaraka wa kusukuma agenda za Putin.

Kiongozi wa Wabunge walio wengi wa Republican, seneta John Thune, amesema kuwa maneno ya Trump ni ya kwake binafsi.

========================================================

MIAMI (AP) — President Donald Trump on Wednesday warned Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy that he “better move fast” to negotiate an end to Russia’s invasion of Ukraine or risk not having a nation to lead.
Trump said, “Think of it, a modestly successful comedian, Volodymyr Zelenskyy, talked the United States of America into spending $350 Billion Dollars, to go into a War that couldn’t be won, that never had to start, but a War that he, without the U.S. and ‘TRUMP,’ will never be able to settle,”
U.S. has obligated about $183 billion since Russia invaded Ukraine in February 2022, according to the U.S. special inspector general, conducting oversight of American assistance to Ukraine.

Trump’s harsh words for Zelenskyy drew criticism from Democrats and even some Republicans in the United States, where Ukraine’s defense against Russian aggression has had bipartisan support.

Senate Democratic leader Chuck Schumer of New York was appalled that Trump was blaming Ukraine for Russian President Vladimir Putin’s invasion.

“It’s disgusting to see an American president turn against one of our friends and openly side with a thug like Vladimir Putin,” Schumer said.

Sen. John Kennedy, R-La., said he disagreed with Trump’s suggestion that Ukraine was responsible.

“Vladimir Putin started the war,” Kennedy said. “I also believe, from bitter experience, that Vladimir Putin is a gangster. He’s a gangster with a black heart” who has Soviet dictator Josef Stalin’s “taste for blood.”

Sen. Dick Durbin, D-Ill., said Trump’s words were insulting to the thousands of Ukrainians who have died in the war and he accused the president of parroting Putin. “I would call on President Trump to apologize to the people of Ukraine. “Donald Trump is a pushover for Putin.”

Senate Majority Leader John Thune of South Dakot said the Trump administration needed space as it seeks a resolution. “The president speaks for himself,”
 
Maseneta mbalimbali wanasema hawakubaliani na mtazamo wa Putin katika kuumaliza mgogoro wa vita ya Ukraine kwa vile Trump anatumika na Putin kulazimisha matakwa ya Putin.

Jumatano iliyopita, Rais Trump akiwa Miami alisema kuwa Zelenskyy lazima akubaliane na mpango wa kumaliza vita, au la ajiandae kukosa Taifa la kuongoza.

Maneno hayo ya kibabe ya Trump yameshambuliwa na wademocrat na baadhi ya warepublican kwa vile mvamizi amepewa kipaumbele dhidi ya aliyevamiwa.

Maneno mengine ya kejeli yaliyolalamikiwa na Wamarekani ni pamoja na Trump aliposema, 'fikiria a comedian anaongea na Serikali ya Marekani, halafu Marekani inakubali kutumia dola bilioni 350 kwenye vita ambayo Ukraine haiwezi kushinda, vita ambayo haikustahili kuwepo".

Lakini mkaguzi mkuu wa Serikali anasema Marekani ilitumia dola bilioni 183 kwenye vita ya Ukraine, siyo dola billion 350. Kwa hiyo Trump ni muongo.

Trump pia alieleza kuwa Ukraine ndiyo ilianzisha vita, kauli ambayo imewashangaza watu wote, kwa sababu ni ya uwongo.

Seneta wa New York Chuck Schumer, amesema kuwa ni aibu kubwa kwa Rais wa Marekani kujitenga na marafiki na kuamua kushikamana na jambazi Putin.

Seneta John Kennedy amesema kuwa hakubaliani kabisa na Trump kuwa eti Ukraine ndiyo chanzo cha vita. Akasema kuwa anajua kuwa Putin ni mhuni mwenye moyo mweusi ulioonja ladha ya udikteta wa Stallin.

Seneta Dirk Drbin amesema kuwa maneno ya Trump ni matusi kwa Waukreni waliopoteza maisha na ndugu zao. Na amemtaka Trump awaombe msamaha wananchi wa Ukraine. Akaongeza kuwa Trump ni kibaraka wa kusukuma agenda za Putin.

Kiongozi wa Wabunge walio wengi wa Republican, seneta John Thune, amesema kuwa maneno ya Trump ni ya kwake binafsi.

Habari nzima toka AFP hii hapa:

MIAMI (AP) — President Donald Trump on Wednesday warned Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy that he “better move fast” to negotiate an end to Russia’s invasion of Ukraine or risk not having a nation to lead.
Trump said, “Think of it, a modestly successful comedian, Volodymyr Zelenskyy, talked the United States of America into spending $350 Billion Dollars, to go into a War that couldn’t be won, that never had to start, but a War that he, without the U.S. and ‘TRUMP,’ will never be able to settle,”
U.S. has obligated about $183 billion since Russia invaded Ukraine in February 2022, according to the U.S. special inspector general, conducting oversight of American assistance to Ukraine.

Trump’s harsh words for Zelenskyy drew criticism from Democrats and even some Republicans in the United States, where Ukraine’s defense against Russian aggression has had bipartisan support.

Senate Democratic leader Chuck Schumer of New York was appalled that Trump was blaming Ukraine for Russian President Vladimir Putin’s invasion.

“It’s disgusting to see an American president turn against one of our friends and openly side with a thug like Vladimir Putin,” Schumer said.

Sen. John Kennedy, R-La., said he disagreed with Trump’s suggestion that Ukraine was responsible.

“Vladimir Putin started the war,” Kennedy said. “I also believe, from bitter experience, that Vladimir Putin is a gangster. He’s a gangster with a black heart” who has Soviet dictator Josef Stalin’s “taste for blood.”

Sen. Dick Durbin, D-Ill., said Trump’s words were insulting to the thousands of Ukrainians who have died in the war and he accused the president of parroting Putin. “I would call on President Trump to apologize to the people of Ukraine. “Donald Trump is a pushover for Putin.”

Senate Majority Leader John Thune of South Dakot said the Trump administration needed space as it seeks a resolution. “The president speaks for himself,”
Watakuwa democratics... Trump yeye ni mzee wa business. Soon ataondoa vikwazo kwa russia wakati ulaya wanashangaa shangaa na wanapambana na kununua mafuta na gas kwa bei juu kwa madalali wanaoyanunua kwa russia kisa hawataki yanunja directly.
 
nilijua hakuna Christian Conservative Republican anayeweze ongea ujinga kama huo ndio maana ya kuuliza hivyo, domocrat kama ccm ya tanzagiza full matanuzi huku wananchi wakiitabika btw ccm wamenunua ndege mpyaaa …
CCM inakubaliana na ushoga/LGBQT?
 
Maseneta mbalimbali wanasema hawakubaliani na mtazamo wa Putin katika kuumaliza mgogoro wa vita ya Ukraine kwa vile Trump anatumika na Putin kulazimisha matakwa ya Putin.

Jumatano iliyopita, Rais Trump akiwa Miami alisema kuwa Zelenskyy lazima akubaliane na mpango wa kumaliza vita, au la ajiandae kukosa Taifa la kuongoza.

Maneno hayo ya kibabe ya Trump yameshambuliwa na wademocrat na baadhi ya warepublican kwa vile mvamizi amepewa kipaumbele dhidi ya aliyevamiwa.

Maneno mengine ya kejeli yaliyolalamikiwa na Wamarekani ni pamoja na Trump aliposema, 'fikiria a comedian anaongea na Serikali ya Marekani, halafu Marekani inakubali kutumia dola bilioni 350 kwenye vita ambayo Ukraine haiwezi kushinda, vita ambayo haikustahili kuwepo".

Lakini mkaguzi mkuu wa Serikali anasema Marekani ilitumia dola bilioni 183 kwenye vita ya Ukraine, siyo dola billion 350. Kwa hiyo Trump ni muongo.

Trump pia alieleza kuwa Ukraine ndiyo ilianzisha vita, kauli ambayo imewashangaza watu wote, kwa sababu ni ya uwongo.

Seneta wa New York Chuck Schumer, amesema kuwa ni aibu kubwa kwa Rais wa Marekani kujitenga na marafiki na kuamua kushikamana na jambazi Putin.

Seneta John Kennedy amesema kuwa hakubaliani kabisa na Trump kuwa eti Ukraine ndiyo chanzo cha vita. Akasema kuwa anajua kuwa Putin ni mhuni mwenye moyo mweusi ulioonja ladha ya udikteta wa Stallin.

Seneta Dirk Drbin amesema kuwa maneno ya Trump ni matusi kwa Waukreni waliopoteza maisha na ndugu zao. Na amemtaka Trump awaombe msamaha wananchi wa Ukraine. Akaongeza kuwa Trump ni kibaraka wa kusukuma agenda za Putin.

Kiongozi wa Wabunge walio wengi wa Republican, seneta John Thune, amesema kuwa maneno ya Trump ni ya kwake binafsi.

========================================================

MIAMI (AP) — President Donald Trump on Wednesday warned Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy that he “better move fast” to negotiate an end to Russia’s invasion of Ukraine or risk not having a nation to lead.
Trump said, “Think of it, a modestly successful comedian, Volodymyr Zelenskyy, talked the United States of America into spending $350 Billion Dollars, to go into a War that couldn’t be won, that never had to start, but a War that he, without the U.S. and ‘TRUMP,’ will never be able to settle,”
U.S. has obligated about $183 billion since Russia invaded Ukraine in February 2022, according to the U.S. special inspector general, conducting oversight of American assistance to Ukraine.

Trump’s harsh words for Zelenskyy drew criticism from Democrats and even some Republicans in the United States, where Ukraine’s defense against Russian aggression has had bipartisan support.

Senate Democratic leader Chuck Schumer of New York was appalled that Trump was blaming Ukraine for Russian President Vladimir Putin’s invasion.

“It’s disgusting to see an American president turn against one of our friends and openly side with a thug like Vladimir Putin,” Schumer said.

Sen. John Kennedy, R-La., said he disagreed with Trump’s suggestion that Ukraine was responsible.

“Vladimir Putin started the war,” Kennedy said. “I also believe, from bitter experience, that Vladimir Putin is a gangster. He’s a gangster with a black heart” who has Soviet dictator Josef Stalin’s “taste for blood.”

Sen. Dick Durbin, D-Ill., said Trump’s words were insulting to the thousands of Ukrainians who have died in the war and he accused the president of parroting Putin. “I would call on President Trump to apologize to the people of Ukraine. “Donald Trump is a pushover for Putin.”

Senate Majority Leader John Thune of South Dakot said the Trump administration needed space as it seeks a resolution. “The president speaks for himself,”
Trump anapenda sana unyanyasaji wa kihisia (bullying) ukiwa mnyonge lazima akunyanyase.

Akija kibabe dawa yake ni kumwendea kibabe. Wamarekani wengi hawaijui dunia halisi inakwenda vipi wanadhani wanavyoijua wao ndio ilivyo.

Trump akiwa ni republican na mawazo ya kizungu sawa na walivyokuwa kina Reagan na Kissinger miaka ile. Dunia ya sasa inataka kiongozi mbunifu na anayeweza kubadilika kutokana na mazingira mapya ya kisiasa.
 
Maseneta mbalimbali wanasema hawakubaliani na mtazamo wa Putin katika kuumaliza mgogoro wa vita ya Ukraine kwa vile Trump anatumika na Putin kulazimisha matakwa ya Putin.

Jumatano iliyopita, Rais Trump akiwa Miami alisema kuwa Zelenskyy lazima akubaliane na mpango wa kumaliza vita, au la ajiandae kukosa Taifa la kuongoza.

Maneno hayo ya kibabe ya Trump yameshambuliwa na wademocrat na baadhi ya warepublican kwa vile mvamizi amepewa kipaumbele dhidi ya aliyevamiwa.

Maneno mengine ya kejeli yaliyolalamikiwa na Wamarekani ni pamoja na Trump aliposema, 'fikiria a comedian anaongea na Serikali ya Marekani, halafu Marekani inakubali kutumia dola bilioni 350 kwenye vita ambayo Ukraine haiwezi kushinda, vita ambayo haikustahili kuwepo".

Lakini mkaguzi mkuu wa Serikali anasema Marekani ilitumia dola bilioni 183 kwenye vita ya Ukraine, siyo dola billion 350. Kwa hiyo Trump ni muongo.

Trump pia alieleza kuwa Ukraine ndiyo ilianzisha vita, kauli ambayo imewashangaza watu wote, kwa sababu ni ya uwongo.

Seneta wa New York Chuck Schumer, amesema kuwa ni aibu kubwa kwa Rais wa Marekani kujitenga na marafiki na kuamua kushikamana na jambazi Putin.

Seneta John Kennedy amesema kuwa hakubaliani kabisa na Trump kuwa eti Ukraine ndiyo chanzo cha vita. Akasema kuwa anajua kuwa Putin ni mhuni mwenye moyo mweusi ulioonja ladha ya udikteta wa Stallin.

Seneta Dirk Drbin amesema kuwa maneno ya Trump ni matusi kwa Waukreni waliopoteza maisha na ndugu zao. Na amemtaka Trump awaombe msamaha wananchi wa Ukraine. Akaongeza kuwa Trump ni kibaraka wa kusukuma agenda za Putin.

Kiongozi wa Wabunge walio wengi wa Republican, seneta John Thune, amesema kuwa maneno ya Trump ni ya kwake binafsi.

========================================================

MIAMI (AP) — President Donald Trump on Wednesday warned Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy that he “better move fast” to negotiate an end to Russia’s invasion of Ukraine or risk not having a nation to lead.
Trump said, “Think of it, a modestly successful comedian, Volodymyr Zelenskyy, talked the United States of America into spending $350 Billion Dollars, to go into a War that couldn’t be won, that never had to start, but a War that he, without the U.S. and ‘TRUMP,’ will never be able to settle,”
U.S. has obligated about $183 billion since Russia invaded Ukraine in February 2022, according to the U.S. special inspector general, conducting oversight of American assistance to Ukraine.

Trump’s harsh words for Zelenskyy drew criticism from Democrats and even some Republicans in the United States, where Ukraine’s defense against Russian aggression has had bipartisan support.

Senate Democratic leader Chuck Schumer of New York was appalled that Trump was blaming Ukraine for Russian President Vladimir Putin’s invasion.

“It’s disgusting to see an American president turn against one of our friends and openly side with a thug like Vladimir Putin,” Schumer said.

Sen. John Kennedy, R-La., said he disagreed with Trump’s suggestion that Ukraine was responsible.

“Vladimir Putin started the war,” Kennedy said. “I also believe, from bitter experience, that Vladimir Putin is a gangster. He’s a gangster with a black heart” who has Soviet dictator Josef Stalin’s “taste for blood.”

Sen. Dick Durbin, D-Ill., said Trump’s words were insulting to the thousands of Ukrainians who have died in the war and he accused the president of parroting Putin. “I would call on President Trump to apologize to the people of Ukraine. “Donald Trump is a pushover for Putin.”

Senate Majority Leader John Thune of South Dakot said the Trump administration needed space as it seeks a resolution. “The president speaks for himself,”
Wote vichaa tu
 
Maseneta mbalimbali wanasema hawakubaliani na mtazamo wa Putin katika kuumaliza mgogoro wa vita ya Ukraine kwa vile Trump anatumika na Putin kulazimisha matakwa ya Putin.

Jumatano iliyopita, Rais Trump akiwa Miami alisema kuwa Zelenskyy lazima akubaliane na mpango wa kumaliza vita, au la ajiandae kukosa Taifa la kuongoza.

Maneno hayo ya kibabe ya Trump yameshambuliwa na wademocrat na baadhi ya warepublican kwa vile mvamizi amepewa kipaumbele dhidi ya aliyevamiwa.

Maneno mengine ya kejeli yaliyolalamikiwa na Wamarekani ni pamoja na Trump aliposema, 'fikiria a comedian anaongea na Serikali ya Marekani, halafu Marekani inakubali kutumia dola bilioni 350 kwenye vita ambayo Ukraine haiwezi kushinda, vita ambayo haikustahili kuwepo".

Lakini mkaguzi mkuu wa Serikali anasema Marekani ilitumia dola bilioni 183 kwenye vita ya Ukraine, siyo dola billion 350. Kwa hiyo Trump ni muongo.

Trump pia alieleza kuwa Ukraine ndiyo ilianzisha vita, kauli ambayo imewashangaza watu wote, kwa sababu ni ya uwongo.

Seneta wa New York Chuck Schumer, amesema kuwa ni aibu kubwa kwa Rais wa Marekani kujitenga na marafiki na kuamua kushikamana na jambazi Putin.

Seneta John Kennedy amesema kuwa hakubaliani kabisa na Trump kuwa eti Ukraine ndiyo chanzo cha vita. Akasema kuwa anajua kuwa Putin ni mhuni mwenye moyo mweusi ulioonja ladha ya udikteta wa Stallin.

Seneta Dirk Drbin amesema kuwa maneno ya Trump ni matusi kwa Waukreni waliopoteza maisha na ndugu zao. Na amemtaka Trump awaombe msamaha wananchi wa Ukraine. Akaongeza kuwa Trump ni kibaraka wa kusukuma agenda za Putin.

Kiongozi wa Wabunge walio wengi wa Republican, seneta John Thune, amesema kuwa maneno ya Trump ni ya kwake binafsi.

========================================================

MIAMI (AP) — President Donald Trump on Wednesday warned Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy that he “better move fast” to negotiate an end to Russia’s invasion of Ukraine or risk not having a nation to lead.
Trump said, “Think of it, a modestly successful comedian, Volodymyr Zelenskyy, talked the United States of America into spending $350 Billion Dollars, to go into a War that couldn’t be won, that never had to start, but a War that he, without the U.S. and ‘TRUMP,’ will never be able to settle,”
U.S. has obligated about $183 billion since Russia invaded Ukraine in February 2022, according to the U.S. special inspector general, conducting oversight of American assistance to Ukraine.

Trump’s harsh words for Zelenskyy drew criticism from Democrats and even some Republicans in the United States, where Ukraine’s defense against Russian aggression has had bipartisan support.

Senate Democratic leader Chuck Schumer of New York was appalled that Trump was blaming Ukraine for Russian President Vladimir Putin’s invasion.

“It’s disgusting to see an American president turn against one of our friends and openly side with a thug like Vladimir Putin,” Schumer said.

Sen. John Kennedy, R-La., said he disagreed with Trump’s suggestion that Ukraine was responsible.

“Vladimir Putin started the war,” Kennedy said. “I also believe, from bitter experience, that Vladimir Putin is a gangster. He’s a gangster with a black heart” who has Soviet dictator Josef Stalin’s “taste for blood.”

Sen. Dick Durbin, D-Ill., said Trump’s words were insulting to the thousands of Ukrainians who have died in the war and he accused the president of parroting Putin. “I would call on President Trump to apologize to the people of Ukraine. “Donald Trump is a pushover for Putin.”

Senate Majority Leader John Thune of South Dakot said the Trump administration needed space as it seeks a resolution. “The president speaks for himself,”
Waache kulialia, kwa sababu U.S. Congress imeshasalimisha mamlaka yake kwa Trump. Isitoshe Wamarekani walipiga kura kuiuza nchi yao kwa oligarchs!
 
Trump mshauri wake elon hivyo hakuna cha kushangaa hapo
 
maseneta gani kwanza hao? ni domocrat au Republicans waliosema hivyo ? mnasahau vita ya ukraine imeikost USA billions of dollars wakati US haina mpaka na ukraine, hiyo fedha wanaihitaji huko kwao USA na siyo ukraine …
unahitaj mpaka kujuwa Adui anavyoiteka Ulaya anadhidi kuwa imara dhid yako na kuisogeza buffer zone incase mkikwaluzana , elewa BUFFER ZONE
 
CCM inakubaliana na ushoga/LGBQT?
Screenshot_20250224-192819.jpg
Screenshot_20250224-193019.jpg
 
Back
Top Bottom