Mgogoro wa Zanzibar, Fatma Karume kanifunga akili

Mgogoro wa Zanzibar, Fatma Karume kanifunga akili

Jecha uchaguzi utapoisha na yeye ajiandae kufagia iwapo itadhibitika haya asemayo bint karume n kwel hakufata kanun za kufuta uchaguzi,tena apangiwe kufanya usafi bandarini hapo ili raia wanaoingia na kutoka huko zenji wamuone Kwa kipindi cha mwaka mzima.
 
Back
Top Bottom