Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Manzoki kaonekana uwanjani Leo kwenye mchezo na Coastal Union na kwa jinsi tunavyojua viongozi wamemleta ili kumpigia debe mgombea mmoja aonekane ni mkweli kwenye hoja zake za kuomba kura.
Tunajua Mangungu anapewa nafas kubwa ya kushinda na sababu za kumgharamia Manzoki ni kuwa kesho atapewa nafasi ya kuwaeleza wana Simba kuwa ameshindwa kujiunga kwa sababu ameumia huko China lakini msimu ujao atacheza Simba.
Upumbavu mtupu, kesho hatudanganyiki sisi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Tunajua Mangungu anapewa nafas kubwa ya kushinda na sababu za kumgharamia Manzoki ni kuwa kesho atapewa nafasi ya kuwaeleza wana Simba kuwa ameshindwa kujiunga kwa sababu ameumia huko China lakini msimu ujao atacheza Simba.
Upumbavu mtupu, kesho hatudanganyiki sisi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app