Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mjifunze kumaliza matatizo yenu bila kuhusisha wengineTunakuwa na machawa kama Uto? Foolish
Wewe uto tumekukosea nini aiseeTunakuwa na machawa kama Uto? Foolish
Manzoki kaonekana uwanjani Leo kwenye mchezo na Coastal Union na kwa jinsi tunavyojua viongozi wamemleta ili kumpigia debe mgombea mmoja aonekane ni mkweli kwenye hoja zake za kuomba kura, tunajua Mangungu anapewa nafas kubwa ya kushinda na sababu za kumgharamia Manzoki ni kuwa kesho atapewa nafasi ya kuwaeleza wana Simba kuwa ameshindwa kujiunga kwa sababu ameumia huko China lkn msimu ujao atacheza Simba.
Upumbavu mtupu.Kesho hatudanganyiki ss
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ahadi za kuleta wachezaji wakubwa kwenye chaguzi za vilabu zinatumika sana hata Ulaya. Fuatilia kampeni za viongozi wa Real Madrid na Barcelona utalijua hilo. Kama kwako ni geni, basi vumilia maumivu. Utalizoea tu!Manzoki kaonekana uwanjani Leo kwenye mchezo na Coastal Union na kwa jinsi tunavyojua viongozi wamemleta ili kumpigia debe mgombea mmoja aonekane ni mkweli kwenye hoja zake za kuomba kura.
Tunajua Mangungu anapewa nafas kubwa ya kushinda na sababu za kumgharamia Manzoki ni kuwa kesho atapewa nafasi ya kuwaeleza wana Simba kuwa ameshindwa kujiunga kwa sababu ameumia huko China lakini msimu ujao atacheza Simba.
Upumbavu mtupu, kesho hatudanganyiki sisi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Nakwambia MBUMBUMBU FC mbona mtadanganyika tu..!!Manzoki kaonekana uwanjani Leo kwenye mchezo na Coastal Union na kwa jinsi tunavyojua viongozi wamemleta ili kumpigia debe mgombea mmoja aonekane ni mkweli kwenye hoja zake za kuomba kura.
Tunajua Mangungu anapewa nafas kubwa ya kushinda na sababu za kumgharamia Manzoki ni kuwa kesho atapewa nafasi ya kuwaeleza wana Simba kuwa ameshindwa kujiunga kwa sababu ameumia huko China lakini msimu ujao atacheza Simba.
Upumbavu mtupu, kesho hatudanganyiki sisi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Uhuni vipi timu imeshawahi kufika Robo ya CAFCL & CAFCC na nihivi karibuni, ila sio kosa lako ukiujua mpira utajua nini cha kuandika...Nimesikitika sana Simba kuwa na wachezaji wa KAWAIDA Mno na KUSHINDWA kusajili wachezaji wa Daraja la Juu.
1. Bambala.
2. Adebayor.
3. Azizi Ki.
4. Manzoki.
5.semanza sonze.
6. Makusu nk.
Kweli soka la Bongo ni uhuni uhuni tu.
Manzoki kaonekana uwanjani Leo kwenye mchezo na Coastal Union na kwa jinsi tunavyojua viongozi wamemleta ili kumpigia debe mgombea mmoja aonekane ni mkweli kwenye hoja zake za kuomba kura.
Tunajua Mangungu anapewa nafas kubwa ya kushinda na sababu za kumgharamia Manzoki ni kuwa kesho atapewa nafasi ya kuwaeleza wana Simba kuwa ameshindwa kujiunga kwa sababu ameumia huko China lakini msimu ujao atacheza Simba.
Upumbavu mtupu, kesho hatudanganyiki sisi.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Uhuni vipi timu imeshawahi kufika Robo ya CAFCL & CAFCC na nihivi karibuni, ila sio kosa lako ukiujua mpira utajua nini cha kuandika...
Kwa hiyo amekuja kama msimamizi wa uchaguzi kutoka nje?
We mbumbumbu kolo uto imeingiaje hapo?Tunakuwa na machawa kama Uto? Foolish
1. Hiyo kikosi unayosema wewe haikujengwa kwa msimu mmoja kwa taarifa yako hao wachezaji walikuja kwa misimu tofauti tofauti.1: Sawa Ile Simba ilikuwa ni Bora sana.
Ilikuwa na wachezaji wazuri kama....
Miquesson.
Lwanga.
Mugalu.
Bwalya.
Kagere.
Dilunga nk.
2. Nguvu inayotumika uwanja wa Mkapa ilikuwa ni kubwa Sana.
Hakuna mchezaji yoyote Simba wa kufananisha na hao.
Ila jamani Simba kumejaa mazuzu...[emoji6][emoji2960]Tuna Imani na Mangungu[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Manzoki ni mchezaji wa Simba tayari ataanza kuitumikia akipona majeraha yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila jamani Simba kumejaa mazuzu