Mgombea Bernard Kamilius Membe wa ACT - Wazalendo amekwama?

Mgombea Bernard Kamilius Membe wa ACT - Wazalendo amekwama?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Vipi mgombea huyu hasikiki kwa muda sasa toka amerejea kwenye "matibabu" Dubai?

Kama mitikasi imevurugika ACT Wazalendo, kwanini isiungane na Lissu kuongeza nguvu kama CHADEMA walivyoamua kumuunga Maalim Seif Zanzibar?
 
Mission yake tayari imetiki sasa hivi Zitto ndiyo anahaha kufanya kampeni sasa sijui ndiyo za urais au ubunge jamaa msanii kinoma na kauli ke tunaingia ikulu october 28 asubuhi
 
Membe safari hii hatanii naona kaamua kumuachia Lissu amaa kweli CCM imechokwa hadi na wakongwe wake
 
MBMBEZI mtu ambaye hata kampeni imemshindaamebaki kuwa wa twiter tu jamani si usanii huu
Soma vizuri uelewe hiyo comment yangu ya mwanzo. Membe Kisha ona Lisu anachukua nchi, na Maalim Seif anabeba Zanzibar. Sasa kwann ahangaike?
 
Act na chadema wameungana kiaina..

Vipi mgombea huyu hasikiki kwa muda sasa toka amerejea kwenye "matibabu" Dubai?

Kama mitikasi imevurugika ACT Wazalendo, kwanini isiungane na Lissu kuongeza nguvu kama CHADEMA walivyoamua kumuunga Maalim Seif Zanzibar?
 
KACHERO MBOBEZI Bernard Kamilius Membe[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mi naona hali imekuwa tete. Kama kuungana, kwanini wasinge ungana kabla ya kuanza kampeni?

Mi naona Membe anakwepa aibu. Kasha jua atapata kura chache sana, na itaaribu CV yake. Hasa kama anatarajia kugombea tena baadaye.

Pumzi imekata, kusema kuungana ni kutafuta chocho la kujihifadhi.
 
ACT na Chadema wanakwepa mitego ya sheria ya vyama vya siasa, CCM watajua hawajui, Zanzibar ni Maalim wakati JMT ni Lissu.
 
Vipi mgombea huyu hasikiki kwa muda sasa toka amerejea kwenye "matibabu" Dubai?

Kama mitikasi imevurugika ACT Wazalendo, kwanini isiungane na Lissu kuongeza nguvu kama CHADEMA walivyoamua kumuunga Maalim Seif Zanzibar?
Yuko bize anaandaa baraza la mawaziri!
 
Mi naona hali imekuwa tete. Kama kuungana, kwanini wasinge ungana kabla ya kuanza kampeni?...


Mitego yenu yote imepanguliwa kikachero mmebaki kulalamika tu mbona Membe hapigi kampeni.

CCM mwaka huu tunaifurusha Ikulu na 2025 tunaipeleka makumbusho ya taifa. Walishaleta Uhuru wapelekwe makubsho ya taifa ili kupisha siasa za ushindani zitakazoleta maendeleo ya kweli. Ili kupata maendeleo ya kweli chama dola lazima kipelekwe makumbusho ya taifa.
 
Mitego yenu yote imepanguliwa kikachero mmebaki kulalamika tu mbona Membe hapigi kampeni.

CCM mwaka huu tunaifurusha Ikulu na 2025 tunaipeleka makumbusho ya taifa. Walishaleta Uhuru wapelekwe makubsho ya taifa ili kupisha siasa za ushindani zitakazoleta maendeleo ya kweli. Ili kupata maendeleo ya kweli chama dola lazima kipelekwe makumbusho ya taifa.
Kusema ukweli, mtu anayedhani CDM inachukua nchi mwaka huu, na muona kama punguani hivi. Kweli kabisa mshikaji wangu.

Sijui na wewe ni miongoni mwa walio sema hivi hivi 2015?

Anyway, tusubiri uchaguzi, siyo ishu. Zimebaki siku chache tu.
 
Kusema ukweli, mtu anayedhani CDM inachukua nchi mwaka huu, na muona kama punguani hivi. Kweli kabisa mshikaji wangu.

Sijui na wewe ni miongoni mwa walio sema hivi hivi 2015?...

Wewe Magufuli akishinda atakutia njaa wewe na familia yako,badilika kijana.

Mimi 2015 nilimshabikia na kumpigia kura Magufuli nikitegemea atarudisha nidhamu kwenye utumishi wa umma ndiyo jambo lililokuwa linanikwaza kwenye utawala wa Kikwete kipindi hicho nikiwa mtumishi wa umma, sasa huyu Magufuli kaleta njaa,ajira za kuvizia mpaka asifuwe ndiyo aajiri,aongezi mishahara wala kupandisha madaraka na sekta binafsi ambayo inaajiri watu wengi kaiua kabisa,kwenye kilimo hoi kuanzia korosho,ufuta na mbaazi za kusini mpaka pamba,tumbaku,mkonge na kahawa.

Magufuli ameendelea kuwa yule yule waziri wa ujenzi wa Kikwete, bado anawaza na kufikiri kama waziri wa ujenzi wa Kikwete. Mzee Kingunge hakukosea kumuita mnyapara wa barabara,akachunge ng'ombe tu huko kwao Chatto kwenye uwanja wa ndege aliojenga.
 
Wewe Magufuli akishinda atakutia njaa wewe na familia yako,badilika kijana.

Mimi 2015 nilimshabikia na kumpigia kura Magufuli nikitegemea atarudisha nidhamu kwenye utumishi wa umma ndiyo jambo lililokuwa linanikwaza kwenye utawala wa Kikwete kipindi hicho nikiwa mtumishi wa umma...
Mimi sijawahi kuwa mpenzi wa siasa, ni sijawahi kupiga kura kwa sababu moja
Niliona CCM wataendelea kufanya upuuzi ule ule na upinzani haujaweza nionyesha mtu wakusema huyu atatuvusha. Wengi midomo tu.

Ila mwaka huu, nampigia Magufuli. Nimeajiriwa miaka 10 kwenye sector binafsi ilikuwa inafanya tenda za serikali. Najua vizuri upuuzi wa serikali. Mpaka nilipoacha kazi na kujiajiri 2016.

Siwezi kuitetea CCM maana najua upuuzi wao ndio umetufanya tubaki masikini. Ila Magufuli, Ahh kura yangu anaipata. Ila asikae zaidi ya 2025.

Nafanya hivi nikijua kabisa, tutake tusitake mambo anayo yafanya Tanzania tuna yahitaji sana.

Tunahitaji kusimamia rasimali zetu ili tuache kutegemea kodi. Uchumi wetu ulikuwa wa ajabu sana.

Yaani mbane mfanyabiashara kodi, upate hela ya kumlipa mwalimu mshahara. Kama tunataka tutoke, lazima tuongeze vyanzo vingine vya mapato kama kuuza umeme nje, treni na bandari mizigo iongezeke. Hivyo vikiwepo, tuweze kupunguza mzigo kwenye kodi kwa wafanya biashara.

Mwache amalize hizi ujenzi, then kitaeleweka.
 
Mimi sijawahi kuwa mpenzi wa siasa, ni sijawahi kupiga kura kwa sababu moja
Niliona CCM wataendelea kufanya upuuzi ule ule na upinzani haujaweza nionyesha mtu wakusema huyu atatuvusha. Wengi midomo tu...


Wewe MATAGA hujajiari acha uongo,sekta binafsi imekufa kabisa.Magufuli hana mambo mazuri ansyouafanya zaidi ya kuendelea kubaki kuwa na fikira za waziri wa ujenzi wa Kikwete. Magufuli ana anachokijua zaidi ya kuwa mnyapara wa barabara.
 
Back
Top Bottom