Mgombea Bernard Kamilius Membe wa ACT - Wazalendo amekwama?

Mgombea Bernard Kamilius Membe wa ACT - Wazalendo amekwama?

Wewe MATAGA hujajiari acha uongo,sekta binafsi imekufa kabisa.Magufuli hana mambo mazuri ansyouafanya zaidi ya kuendelea kubaki kuwa na fikira za waziri wa ujenzi wa Kikwete. Magufuli ana anachokijua zaidi ya kuwa mnyapara wa barabara.
Unataka nikutumie leseni yangu ya kampuni? Ua nikutumie service kampuni yangu ulichofanya na inachofanya?

Yaani watu wanadhani wote sijui ni watoto waliozaliwa miaka ya 2000.

Kila mtu ana maisha yake humu. Hii ndiyo Jamii Forum.
 
Back
Top Bottom