Lihakanga JF-Expert Member Joined Dec 17, 2016 Posts 4,823 Reaction score 6,416 Sep 21, 2020 #21 Sexless said: Hizo siyo takwimu zangu ndugu. Zimetolewa na kachero mbobezi Bernad Kamilius Membe. Wewe nani upinge? Click to expand... Membe ni nani atoe takwimu zisipingwe? Unapumliwa kisogoni wewe si bure.
Sexless said: Hizo siyo takwimu zangu ndugu. Zimetolewa na kachero mbobezi Bernad Kamilius Membe. Wewe nani upinge? Click to expand... Membe ni nani atoe takwimu zisipingwe? Unapumliwa kisogoni wewe si bure.
ForeverMore JF-Expert Member Joined Nov 12, 2014 Posts 812 Reaction score 1,939 Sep 21, 2020 #22 Kinjeketile said: Wewe MATAGA hujajiari acha uongo,sekta binafsi imekufa kabisa.Magufuli hana mambo mazuri ansyouafanya zaidi ya kuendelea kubaki kuwa na fikira za waziri wa ujenzi wa Kikwete. Magufuli ana anachokijua zaidi ya kuwa mnyapara wa barabara. Click to expand... Unataka nikutumie leseni yangu ya kampuni? Ua nikutumie service kampuni yangu ulichofanya na inachofanya? Yaani watu wanadhani wote sijui ni watoto waliozaliwa miaka ya 2000. Kila mtu ana maisha yake humu. Hii ndiyo Jamii Forum.
Kinjeketile said: Wewe MATAGA hujajiari acha uongo,sekta binafsi imekufa kabisa.Magufuli hana mambo mazuri ansyouafanya zaidi ya kuendelea kubaki kuwa na fikira za waziri wa ujenzi wa Kikwete. Magufuli ana anachokijua zaidi ya kuwa mnyapara wa barabara. Click to expand... Unataka nikutumie leseni yangu ya kampuni? Ua nikutumie service kampuni yangu ulichofanya na inachofanya? Yaani watu wanadhani wote sijui ni watoto waliozaliwa miaka ya 2000. Kila mtu ana maisha yake humu. Hii ndiyo Jamii Forum.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Sep 21, 2020 #23 Alijua ana wanao muunga mkono mtaani kumbe ni ushabiki wa kwenye mitandao