Nahisi ACT kiufundi wamejitoa tayari kwenye mbio za urais kuwaachia CHADEMA. Huyu Nondo ni ACT na inajulikana ACT ina mgombea urais, lakini ukiangalia aliyoandika Nondo hapo ni kama anamsifia Lissu wa CHADEMA.
Magufuli ana asili ya kupenda kulaumu wengine, sasa inafika kipindi anakosa mtu wa kumlaumu anaishia kumlaumu Magufuli Wa awamu iliyopita.Katika kpindi hiki kigumu kuna maajabu mengi sana yanaendelea kutokea. Kwa kiasi kikubwa chanzo cha maajabu yote haya ni huyu Tundu Lissu. Mfano wa maajabu ni suala la bei ya umeme. Kule Kigoma mgombea wa CCM Dkt.Magufuli amemlaumu na kumshangaa Rais Magufuli kwa kushindwa kuweka ahueni ya gharama za umeme.
Vivo hivyo na suala la uwepo wa Mtanzania mnyonge. Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani kilio kikubwa ilikuwa ni uwepo wa Mtanzania mnyonge ambaye amempigania kwa hali na mali. Amekuja huyu mgombea Dkt. Magufuli katika kuomba kura anamlaumu Rais Dkt. Magufuli kwa kushindwa kumuondolea unyonge. Kwa hiyo anaahidi miaka mitano atajitahidi.
Haaaa haaa Just Haaaaa haaa
Dole limeshaingia hiloooooooHuoni Nyerere Hydroelectric power plant inajengwa, au huoni kwamba huyo John ameshachukua hatua kupunguza gharama za umeme? Aliondoa kero ya service charges ambayo kiukweli imesaidia sana.
Huyo Nondo na wewe hamna tofauti, ukisoma twita zake hana hoja!
Nileteeeni GwajimaaaaaaJamaa ni mtambo iko siku walinzi watamwona na bukta ofisini
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe ni wale wale tu, akili kisoda.
Nina wasiwasi wa mambo mawili kwako:-Huoni Nyerere Hydroelectric power plant inajengwa, au huoni kwamba huyo John ameshachukua hatua kupunguza gharama za umeme? Aliondoa kero ya service charges ambayo kiukweli imesaidia sana.
Huyo Nondo na wewe hamna tofauti, ukisoma twita zake hana hoja!
Sawa kiongozi...Nina wasiwasi wa mambo mawili kwako:-
1. Kwanza we mwenyewe hujaelewa ulicho kiandika
2. Hujaelewa alicho kiandika Nondo, Nondo kanukuu maneno ya rais, hajatoa kichwani mwake, hili na pili ndio limesabisha hilo la kwanza.
Nileteeeni GwajimaaaaaaNawe ni wale wale tu, akili kisoda.
Jamaa ni mental caseNileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nileteeni gwajimaaaNileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app