Mgombea Dkt. John Magufuli kuna wakati anamlaumu sana Rais John Magufuli

Nahisi ACT kiufundi wamejitoa tayari kwenye mbio za urais kuwaachia CHADEMA. Huyu Nondo ni ACT na inajulikana ACT ina mgombea urais, lakini ukiangalia aliyoandika Nondo hapo ni kama anamsifia Lissu wa CHADEMA.

Mgombea wa ACT yupo kupanga baraza la mawaziri
 
Magufuli ana asili ya kupenda kulaumu wengine, sasa inafika kipindi anakosa mtu wa kumlaumu anaishia kumlaumu Magufuli Wa awamu iliyopita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dole limeshaingia hilooooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ni mtambo iko siku walinzi watamwona na bukta ofisini
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your browser is not able to display this video.
 
Nina wasiwasi wa mambo mawili kwako:-
1. Kwanza we mwenyewe hujaelewa ulicho kiandika
2. Hujaelewa alicho kiandika Nondo, Nondo kanukuu maneno ya rais, hajatoa kichwani mwake, hili na pili ndio limesabisha hilo la kwanza.
 
Nina wasiwasi wa mambo mawili kwako:-
1. Kwanza we mwenyewe hujaelewa ulicho kiandika
2. Hujaelewa alicho kiandika Nondo, Nondo kanukuu maneno ya rais, hajatoa kichwani mwake, hili na pili ndio limesabisha hilo la kwanza.
Sawa kiongozi...
 
Nawe ni wale wale tu, akili kisoda.
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nileteeni gwajimaaa
Nileteeni gwajima
Nileteeni amfamfiro
Yani anataka kulia,kawe wameshasema maendeleo yako peleka kwenu.yani lazima ateme ulimi mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…