Kwa muono wangu; nimefurahia kupatikana fursa ya Wagombea hivyo viongozi wasiotokana na vyama vya siasa. Huu ni wajibu wetu sasa kuweka mwelekeo wa Taifa ili kila mtu atoe mchango wake kufikia malengo ya kitaifa kadiri ya uwezo wake bila ya kulazimika kuwa na chama cha siasa. LETS DRAW THE MAP NOW!!