Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
CCM haihusiki na hizo sheria zenu za uchaguzi.Kwa Mujibu wa sheria za Uchaguzi ni kosa kubwa kwa Mgombea kuanza kufanya kampeni kabla ya muda maalum uliopangwa na Tume.
Kwa zaidi ya miezi miwili sasa, Bidhaa mbalimbali zenye nembo na chapa ya mgombea huyu zimekuwa zikionekana sehemu mbalimbali, Hii pia inaashiria dalili mbaya ya Rushwa ya Uchaguzi,
Pia TAKUKURU wanapaswa waingilie na kuchukua hatua kali. Ushahidi huu unatosha kabisa kwa TUME kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria zilizopo.
View attachment 3257915View attachment 3257916View attachment 3257918
Ukiona mgombea ameanza kununua watu,kwa kugawa zawadi mara mitungi ya gesi nk, ujue nae keshanunuliwa, yaani anakwenda kufanya biashara ikulu.Huyu ni wa kugopwa kama Ukimwi.
Wekeza kwenye shughuli za kukuongezea kipato haya ya SSH mitano tena hauwezi Kuyabadilisha unachoweza ni kubadilika weweKwa Mujibu wa sheria za Uchaguzi ni kosa kubwa kwa Mgombea kuanza kufanya kampeni kabla ya muda maalum uliopangwa na Tume.
Kwa zaidi ya miezi miwili sasa, Bidhaa mbalimbali zenye nembo na chapa ya mgombea huyu zimekuwa zikionekana sehemu mbalimbali, Hii pia inaashiria dalili mbaya ya Rushwa ya Uchaguzi,
Pia TAKUKURU wanapaswa waingilie na kuchukua hatua kali. Ushahidi huu unatosha kabisa kwa TUME kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria zilizopo.
View attachment 3257915View attachment 3257916View attachment 3257918
Ameshateuliwa na chama chake(kiuharamia) na ameshateua mgombea mwenza hivyo officially ni mgombea na incumbent president hivyo mitano tena inatafsiri anashawishi umma ambayo literally ni kwamba anafanya kampeni tena kwa ushawishi wa 'vijizawadi'(rushwa) ili achaguliwe aongoze(na chama chake) kwa miaka mingine mitano.Wapi omeandikwa "Mgombea Urais"?
Na wananchiAfungiwe na nani
Ova
Pia TAKUKURU wanapaswa waingilie na kuchukua hatua kali. Ushahidi huu unatosha kabisa kwa TUME kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria zilizopo.
Nani kakuambia Bongo kuna uchaguzi? Hiyo ndiyo ntolee hakuna mwingine tena.Mgombea huyu asipewe onyo au Kuchukuliwa hatua kali ,wananchi wachague mgombea yeyote wa upinzani.
Kupendwa or no kupendwa it didn’t make any difference before and it won’t make any difference now and then !!Anaforce kupendwa
Kwani kwa Sheria za INEC vyama vinatakiwa kuteuwa wagombea udiwani, Ubunge na Urais kuanzia muda gani kabla ya uchaguzi?Ameshateuliwa na chama chake(kiuharamia) na ameshateua mgombea mwenza hivyo officially ni mgombea na incumbent president hivyo mitano tena inatafsiri anashawishi umma ambayo literally ni kwamba anafanya kampeni tena kwa ushawishi wa 'vijizawadi'(rushwa) ili achaguliwe aongoze(na chama chake) kwa miaka mingine mitano.
Hiyo ni kampeni 100%.
Ajifungie mwenyewe.Afungiwe na nani
Ova
🤣 🤣 🤣 🔊Hata ndoa yake alifanya hivyo hivyo!
Hatimaye akawa mke WA pili!
Tatizo ni kwamba Ukisusa wenzio Wala 😳 !Mbwa hawezi kuuma mkia wake. Halafu kuna mbweha wanataka wapinzani washiriki chaguzi hizi za kiini macho.
Iko vile bandugu 😳 !CCM haihusiki na hizo sheria zenu za uchaguzi.