The Sheriff JF-Expert Member Joined Oct 10, 2019 Posts 747 Reaction score 2,112 Nov 20, 2024 #1 Huyu ni Mgombea wa nafasi katika Serikali ya Mtaa Mshikamano, huko Mbezi Louis, jijini Dar. Anaitwa Masoud “Lupenga” Mbaruku. Kwenye moja ya kampeni zake ameahidi kuwa watafanya vyovyote vile kuhakikisha dola ya Mtaa wa Mshikamano inabaki kwenye chama chake cha CCM. Your browser is not able to display this video.
Huyu ni Mgombea wa nafasi katika Serikali ya Mtaa Mshikamano, huko Mbezi Louis, jijini Dar. Anaitwa Masoud “Lupenga” Mbaruku. Kwenye moja ya kampeni zake ameahidi kuwa watafanya vyovyote vile kuhakikisha dola ya Mtaa wa Mshikamano inabaki kwenye chama chake cha CCM. Your browser is not able to display this video.
USSR JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 10,904 Reaction score 26,184 Nov 20, 2024 #2 Tatizo nini au huelewi USSR
The Sheriff JF-Expert Member Joined Oct 10, 2019 Posts 747 Reaction score 2,112 Nov 20, 2024 Thread starter #3 USSR said: Tatizo nini au huelewi USSR Click to expand... Wapi pameelezwa ni tatizo?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Nov 20, 2024 #4 Hana akili sawasawa huyo
M Malaria 2 JF-Expert Member Joined Oct 17, 2023 Posts 6,846 Reaction score 10,288 Nov 20, 2024 #5 USSR said: Tatizo nini au huelewi USSR Click to expand... Anaweza akatumia njia hiyo, mwisho wa siku akawa kama Kambona, upinzani hayupo chama tawala hayupo. Matunda wanafaidi wengine
USSR said: Tatizo nini au huelewi USSR Click to expand... Anaweza akatumia njia hiyo, mwisho wa siku akawa kama Kambona, upinzani hayupo chama tawala hayupo. Matunda wanafaidi wengine