Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Hahahaha yani waTZ hii chuki yenu dhidi ya Kenya nani kaibandika..yani muko radhi kumkosesha mgombea mzuri urais kisa kaongea na kaongea na mkenya..you need to mature mentally guysso Magufuli is a protege of RAO? This is where his nomination starts losing a taste, as a president in waiting, how does shake RAO hand with both two hands? doesn't he know a lil of protocols how to carry himself in front of media?
of course if he is smart he should disassociate himself with anything Kenyan! we are always serious on thatHahahaha yani waTZ hii chuki yenu dhidi ya Kenya nani kaibandika..yani muko radhi kumkosesha mgombea mzuri urais kisa kaongea na kaongea na mkenya..you need to mature mentally guys
Agwambo na beer mapadlocks mbona ni marafiki tangu zamani! Asije akafungua mipaka yetu lakini au kugawa ardhi yetu ovyo. Naskia ni Msuba lakini, subgroup ya wajaluo.
..sasa labda ukawa/chadema nao wamkaribishe uhuru kenyatta ili huu mchezo uwe mzuri.
Cc msemakweli, MK254
JokaKuu Hatuwezi kuwa draw kwa sababu Tanzania hakuna upinzani, huwa usanii wa kiaina. Hiyo nchi yenu iko kwa mikono ya jamaa wachache kwenye uongozi wa CCM ambao wao ndio huamua nani atakua rais.
Magufuli hafanyi ujinga huo mwenye akili za kijinga kama hizo ni Lowasa.Pamoja na urafiki wenu, Tanzania kwanza. Usithubutu kuwapa ardhi yetu hao wakenya
magufuli mbona mwehu kiasi hichi ? ni nini hadi kumshika raila kwa mikono miwili? halafu we mtoa post waltham waambie wakenya wenzio umoja wa mataifa hakuna nchi inayoitwa zanzibar ,stop harrasing and confusing the world with your empty heads
Na nyie mwaachie waMombasa nchi yao!niliona unapiga kamsa eti unaguru kwenda nairobi na umekua ukipiga kifua vile eti umenunua kitambulisho cha kenya.nikupe tahadhari tu mwenzangu tone down your boasting ways hapa ni kenya kaka. you never know who is and is not listening. wakati huu wa ugaidi na kadharika enjoy your stay in kenya as normal EA member. kwa kuwa na vichwa maji unajua wewe ni number one mwana wa Tanganyika. wachia wazanzibari nchi yao!!