Elections 2010 Mgombea Ubunge jimbo la Igunga kwa tiketi ya CUF apata ajali!

Elections 2010 Mgombea Ubunge jimbo la Igunga kwa tiketi ya CUF apata ajali!

Inaonekana bado anasumbuliwa na hasira za jana baada ya kupigana na polisi na wanakijiji.
 
Dah! Kidogo nishangilie nikidhan ni kasindie.
Kwa hiyo Kashindye hana roho au nafsi? Acha chuki isiyo na tija katika maisha yako. Pole Mahona kama hujapata marejuhi nenda kapige kura yako kisha kapumzike usubiri matokeo ambayo kiukweli yapo mikononi mwa NEC ambao wanamamlaka ya kumtangaza mshindi wamtakaye.
 
Mgombea ubunge jimbo la igunga kupitia CUF amepata ajali. Kwa mjibu wa matangazo ya tbc taifa, bw mahona kapata ajali wakati anaelekea kupiga kura mara baada ya gari lao kugongwa na pikipiki. Kwa maelezo yake mwenyewe kupitia tbc taifa, gari lao limeharibika vibaya na wao wanaendelea vizuri.

UPDATES:- Haya ndo maneno yake " Cha ajabu pikipiki ni nzima na mwendesha pikipiki mwenyewe ni mzima, na tulikuwa wanne kwenye gari wote tumetoka wazima. Naelekea nyumbani kupiga kura, na nitapiga kura eneo la simbo -nyumbani. Baada ya saa 24 nategemea kuwa mbunge mpya wa igunga".

Tuwe makini. Kampeni zimesitishwa na hiyo ilikua ni mbinu ya kumfanyia kampeni mgombea wa CUF agawe kura za Chadema na TBC wamehusishwa. Angepata ajali jana ama baada ya kufungwa kwa vituo. Sasa amepata publicity ya bure ndio maana katoa maneno hayo.
 
hivi wale jamaa wanaojipambanua kwa midevu walisoma ile duwa yao dhidi ya chadema? nilitahadharisha humu kuwa hawajui adui yao kuwa yupo miongoni mwao!!! pole mahona, pona haraka matokeo yakitangazwa utakapokuta umegaragazwa utajutia usaliti wako kwa nchi yako.
 
Mgombea ubunge jimbo la igunga kupitia CUF amepata ajali. Kwa mjibu wa matangazo ya tbc taifa, bw mahona kapata ajali wakati anaelekea kupiga kura mara baada ya gari lao kugongwa na pikipiki. Kwa maelezo yake mwenyewe kupitia tbc taifa, gari lao limeharibika vibaya na wao wanaendelea vizuri.

UPDATES:- Haya ndo maneno yake " Cha ajabu pikipiki ni nzima na mwendesha pikipiki mwenyewe ni mzima, na tulikuwa wanne kwenye gari wote tumetoka wazima. Naelekea nyumbani kupiga kura, na nitapiga kura eneo la simbo -nyumbani. Baada ya saa 24 nategemea kuwa mbunge mpya wa igunga".

Huo uchawi sasa..gari lagongwa na pikipiki na kuharibika wakati pikipiki ipo poa...lol!!!
 
Ni ajali kama ajali zingine. Ni vema kwamba kapona. Lakini habari za ushindi ibaki ni ndoto kwake. Yeye ni mshiriki kama washiriki wengine!
 
ajafa tu ccm wakimbilie kuairisha leo hatawafe wote tutangaza mshindi wa halali
else nahisi kaharufu cha misri kuelekea kaanani kananukia wakichakachua
 
Mgombea ubunge jimbo la igunga kupitia CUF amepata ajali. Kwa mjibu wa matangazo ya tbc taifa, bw mahona kapata ajali wakati anaelekea kupiga kura mara baada ya gari lao kugongwa na pikipiki. Kwa maelezo yake mwenyewe kupitia tbc taifa, gari lao limeharibika vibaya na wao wanaendelea vizuri.

UPDATES:- Haya ndo maneno yake " Cha ajabu pikipiki ni nzima na mwendesha pikipiki mwenyewe ni mzima, na tulikuwa wanne kwenye gari wote tumetoka wazima. Naelekea nyumbani kupiga kura, na nitapiga kura eneo la simbo -nyumbani. Baada ya saa 24 nategemea kuwa mbunge mpya wa igunga".

Mhh.hiyo piki piki ni kubwa sana eh haha.
Au ndo kura za mchana mchana za huruma anatafuta
 
Tuichukulie kama ajali ya kawaida tu! haina mahusiano na siku ya leo ! Pengine tumpe pole na tumtakie upigaji kura mwema!
 
Hakuna ajali hapo, alikuwa anatafuta publicity, ni kampeni nayo kwa style yake alitaka kuliamsha jina lake akilini mwa wapiga kura tu
 
Tuwe makini. Kampeni zimesitishwa na hiyo ilikua ni mbinu ya kumfanyia kampeni mgombea wa CUF agawe kura za Chadema na TBC wamehusishwa. Angepata ajali jana ama baada ya kufungwa kwa vituo. Sasa amepata publicity ya bure ndio maana katoa maneno hayo.

Nakubaliana kabisa na wewe mkuu, hii ni kampeni anafanya siku ya uchaguzi.

Katika hali ya kawaida kama pikipiki inagonga gari na gari ndiyo inaharibika basi hiyo gari itakuwa ya makaratasi!

Tbc wamekuwa against chadema muda wote na bila shaka hata hii habari ya mahona ni mwendelezo tu.
 
Back
Top Bottom