niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Mziki wa Magufuli sio mchezo wazee. Watu washaanza kukimbia wenyewe. Na bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgombea ubunge jimbo la Kibamba kupitia ACT wazalendo, bwana Mwesigwa Zaidi amejiengua, kutogombea ubunge kwenye jimbo la Kibamba kwa kile alichoeleza ni ushauri wa madaktari wake ya kwamba anahitaji muda wa kutosh wa kupumzika kutokana na udhaifu wa afya yake.
Kwani makaratasi ya kura si tayari yashaprintiwa na majina? Au bado.Safi Sana , Sasa Ni muda wa wanacha wa Act kuiunga mkono chadema