Mgombea ubunge jimbo la Korogwe Mjini kupitia CUF chama cha wananchi Mhe. Amina Magogo afanya ziara ya ujenzi wa chama Korogwe Mjini

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KOROGWE MJINI KUPITIA CUF CHAMA CHA WANANCHI MHE. AMINA MAGOGO AFANYA ZIARA YA UJENZI WA CHAMA KOROGWE MJINI
 
Kuna Chama hapo au mnafanya kazi ya uwakala wa CCM.
 
Acheni kuwahadaa watanzania nyie wasakatonge, hamutapata nafasi ata ya diwan mmoja popote tanzania.
 
Mwenyekiti wenu anahutubia watu watano mbele ya meza yake bendera ni ya ccm,mumechanganyikiwa???
 
Ni kweli wametoswa,tena hayana hata aibu,Lipumba amemponza Sakaya.
 

Attachments

  • 2368793_2024173_IMG_20190329_072747_1.jpeg
    16.4 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…