Uchaguzi 2020 Mgombea ubunge jimbo la Mvomero kupitia CHADEMA ndugu Peter Mdidi ametekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana

Uchaguzi 2020 Mgombea ubunge jimbo la Mvomero kupitia CHADEMA ndugu Peter Mdidi ametekwa na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Huko Mvomero mgombea ubunge kupitia CHADEMA ndugu Peter Mdidi ametekwa na mpaka sasa haijulikani alipo

Mvomero.JPG
PIA SOMA
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana

~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia

- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 
Muwe mnaweka na ushahidi namna alivyotekwa! Kama siyo maelekezo kutoka kwa Amsterdam kuwa mtengeneze matukio, basi, muandike kuwa "Ndugu Peter hajulikani alipo" !
 
Bado tu kuna mtu anaamini ni ccm ndio wanafanya haya?
 
Kauza Fomu katokomea kusikojulikana na pesa ya mauzo ya fomu
 
Acha waendelee kutekana mkuu..
Uchaguzi huu hakuna Kura za Huruma.
 
Upinzani wamefanya la maana sana kutosusia huu uchaguzi ili dunia ione uovu wa mtu fulani na Kundi lake na hatimae kupelekea anguko lake.
Yaani......... Wamesaidia sn kuianika ccm chama cha kishetani
 
Safi sana tena naomba watekewe nchi nzima ili iwe fundisho..maana walsihaelezwa hili mapema wakapuuza shida ya chama chetu Chadema ni wabishi sana kuna baadhi ya mambo ,walishaambiwa uchaguzi huu mnapambana na adui zaidi ya mmoja kuna CCM,NEC na POLISI ajabu wameshindwa kutoa ulinzi hata wa wanachama siku tatu kabla kwa wagombea wao,mwisho wataishi kulalamika na hakuna kinachofanyika ni upumbavu tu[emoji51][emoji51]
 
Nao Chadema waache ujinga wao, hao chadema ni juhudi gani walizitumia kuwalinda hao wagombea wao, wakati hizo njama za kuwateka wagombea wao zilikua zinajulikana mapema. Kwa nini wasingeweka ulinzi kwa wagombea wao
 
Back
Top Bottom