Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha longolongo, changia tafadhali na utupe mrejesho.Yuko sawa kabisa tutamchangia pesa za kuwatokomeza nyie mumiani hapo Musoma.
View attachment 1537698
Yaani anataka wananchi wamtatulie shida zake!!
Thats too low dude... Hebu tuambie kwanini deni la nchi linazidi kupaa?View attachment 1537698
Yaani anataka wananchi wamtatulie shida zake!!
Jibu kwanza kwann Deni la nchi linapaaSio kwa ajili ya kampeni za wagombea tusiwe wanafiki
Umeambiwa kukopa ni dhambi??Jibu kwanza kwann Deni la nchi linapaa
Kama miradi yote tunajenga kwa pesa zetu za ndani.
Tunakusanya Kodi kupita malengo
Why deni linapanda, ebu tuelimishe theory inayotumika apo
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
sion tatizo. Gharama za uchaguzi huwa zinachangiwa! Mfano mzuri ni Marekani as long as zinawekwa wazi! Safi sana Julius!View attachment 1537698
Yaani anataka wananchi wamtatulie shida zake!!
Utaratibu wa kuchangia gharama za uchaguzi kwenye chama chenu upo vipi?sion tatizo. Gharama za uchaguzi huwa zinachangiwa! Mfano mzuri ni Marekani as long as zinawekwa wazi! Safi sana Julius!
vinazidi1Kwani nini unataka kulimit uhuru wa kujieleza??
Kilichokosea ni kipi?Utaratibu wa kuchangia gharama za uchaguzi kwenye chama chenu upo vipi?
Je utaratibu wa kuchangiwa kwa mujibu wa sheria za nchi upoje?
Yaani mgombea anaomba na kuchangisha kihuni hivi??Hata michango ya harusi haikusanywi hivi.