Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Same Magharibi kupitia CHADEMA, Gervas Mgonja asimamishwa kufanya kampeni kwa siku 14. NEC mtueleze huu utararibu ulianza lini?

Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Same Magharibi kupitia CHADEMA, Gervas Mgonja asimamishwa kufanya kampeni kwa siku 14. NEC mtueleze huu utararibu ulianza lini?

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba. Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14. Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

Kamati ya Maadili ya Jimbo la Same Magharibi, imekuta na hatia katika fujo zilizotokea kati yake na Diwani wa CCM kwenye jimbo Husika. Mwenyeki wa Kamati ya Maadili ni Mkurugenzi.

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya.

1600948537041.png
 
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
Ndio umeanza bwashee!
 
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
Wacha waendelee kuyakoroga ili hata wale waliolala nao waamke, giza linapozidi ndio kunakaribia kupambazuka.
 
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?
Walitangaza mapema kupitia vyombo vya habari kwamba mtu akitoa kashfa na matusi jukwaani (badala ya sera) ambayo hayana ushahidi, adhabu mojawapo ni kufungiwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa

Labda tujue ni sababu zipi zimetolewa na NEC mpaka wao kufikia uamuzi wa kuwafungia hawa?
 
Wacha waendelee na uonevu ili wananchi wapate hasira zaidi. Siku ya siku ikifika watatafuta pa kukimbilia hawatapapata, maana umma wenye hasira utakuwa kila mtaa, kila kijiji, kila mkoa
 
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
Sababu za kusimamishwa ni zipi??
 
Kuna mtu alitukana mgombea kwamba ameshiba ugali.. mbona hajasimamishwa.
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
 
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
Nenda kasome miiko na maadili ya uchaguzi ambayo vyama vyote vimesaini badala ya kuja kubweka humu
 
Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?

NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
Hawa jamaa hata wasipofanya kampeni watapita kama mshale
 
CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same.

1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same. Same ni kijijini tu, siyo sawa na Dar , Ars , Mwz nk , maeneo hayo yanahitaji mtu makini mwenye local and native touch na wananchi.

2.Gervas ni mtu asiye na staha, mgombea wa ubunge kumvamia na kumpiga mgombea udiwani wa CCM kata ya Vudee ndg Youze Mzava na kumjeruhi mbele za wananchi ni jambo la ajabu sana na lisilotakiwa kufanywa na mtu makini.

3.Anatakiwa afungiwe na NEC kufanya kampeni na jeshi la police liendelee na mchakato wa kumburuza mahakamani baada ya kukiri kuwa alimpiga.

Nawaomba NEC wasiwaachie bila adhabu watu wa aina hii. Mambo ya vurugu asiwapelekee wazee wetu huko vijijini, aendelee huko Arusha.


Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
 
Hivi haya yanayofanyika yana tofauti gani na enzi za ukoloni? Watu wananyimwa haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa sababu ya hayo yanayoitwa mapingamizi, watu wanazuiwa kufanya kampeni kwa sababu zisizo na mashiko, haya mpaka lini?
 
CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same. 1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same...
Mkuu hebu funguka tumalize mashaka inaonekana una taarifa nzuri zenye ushahidi usio na mashaka. Mogmbea alitakiwa kujua sheria za mchezo kabla ya kuingia uwanjani
 
CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same. 1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same...
Halafu Bavicha wanalalamika wanaonewa!
 
Back
Top Bottom