Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Kuna wale waliomwita Matiko Malaya,wala hawajafungiwa!Walitangaza mapema kupitia vyombo vya habari kwamba mtu akitoa kashfa na matusi jukwaani (badala ya sera) ambayo hayana ushahidi, adhabu mojawapo ni kufungiwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa
Labda tujue ni sababu zipi zimetolewa na NEC mpaka wao kufikia uamuzi wa kuwafungia hawa?
Kumbe kampiga mtu? au unamsingizia ewe malaika mkuu?CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same.
1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same. Same ni kijijini tu, siyo sawa na Dar , Ars , Mwz nk , maeneo hayo yanahitaji mtu makini mwenye local and native touch na wananchi...
Mnakosea sana kujifanya wageni wa sheria na taratibu za uchaguziJana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba
Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14
Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?
NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya!
Simsingiziii, waulize wenyewe Chadema wakueleze kwani hata wao imewafedhehesha sana.Kumbe kampiga mtu? au unamsingizia ewe malaika mkuu?
Hii ni aibu kubwa Sana kwa chadema , mgombea na mleta mada ,CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same.
1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same. Same ni kijijini tu, siyo sawa na Dar , Ars , Mwz nk , maeneo hayo yanahitaji mtu makini mwenye local and native touch na wananchi.
2.Gervas ni mtu asiye na staha, mgombea wa ubunge kumvamia na kumpiga mgombea udiwani wa CCM kata ya Vudee ndg Youze Mzava na kumjeruhi mbele za wananchi ni jambo la ajabu sana na lisilotakiwa kufanywa na mtu makini.
3.Anatakiwa afungiwe na NEC kufanya kampeni na jeshi la police liendelee na mchakato wa kumburuza mahakamani baada ya kukiri kuwa alimpiga.
Nawaomba NEC wasiwaachie bila adhabu watu wa aina hii. Mambo ya vurugu asiwapelekee wazee wetu huko vijijini, aendelee huko Arusha.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja. Huyu si wa kufungiwa mikutano ya kampeni tu bali anatakiwa afungwe hadi tutakapomuapisha huyo diwani aliyempiga ndio atashika adabu.CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same.
1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same. Same ni kijijini tu, siyo sawa na Dar , Ars , Mwz nk , maeneo hayo yanahitaji mtu makini mwenye local and native touch na wananchi.
2.Gervas ni mtu asiye na staha, mgombea wa ubunge kumvamia na kumpiga mgombea udiwani wa CCM kata ya Vudee ndg Youze Mzava na kumjeruhi mbele za wananchi ni jambo la ajabu sana na lisilotakiwa kufanywa na mtu makini.
3.Anatakiwa afungiwe na NEC kufanya kampeni na jeshi la police liendelee na mchakato wa kumburuza mahakamani baada ya kukiri kuwa alimpiga.
Nawaomba NEC wasiwaachie bila adhabu watu wa aina hii. Mambo ya vurugu asiwapelekee wazee wetu huko vijijini, aendelee huko Arusha.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Kama kafanya hivyo akemewe na adhabu ni stahili yake. Kiongozi anatakiwa awe na nidhamu na busara kupigana hakujawahi kuwa suluhisho.Simsingiziii, waulize wenyewe Chadema wakueleze kwani hata wao imewafedhehesha sana.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Tokezea barabarani acha kutishia nyau!Jana Boniface Jacob wa Ubungo alisimamishwa kwa siku saba. Leo Gervas Mgonja amesimamishwa kwa siku 14. Wote ni wa CHADEMA. Huu utararibu ulianza lini?
Kamati ya Maadili ya Jimbo la Same Magharibi, imekuta na hatia katika fujo zilizotokea kati yake na Diwani wa CCM kwenye jimbo Husika. Mwenyeki wa Kamati ya Maadili ni Mkurugenzi.
NEC msicheze na huu uchaguzi, mtaishia pabaya.
Huyo angefanya mambo hayo kwetu Mwanza ampige mwakijiji tunayeishi naye wakati yeye ni wakuja!! Sasa hivi angekuwa yuko jehanamu!CHADEMA ilifanya makosa sana kumpitisha Gervas Mgonja kuwa mgombea Same.
1.Gervas Mgonja siyo mkazi wa Same, ni mkazi na mpishi ktk hoteli ya kitalii Ars, lakini pamoja na hilo hana makazi Same. Same ni kijijini tu, siyo sawa na Dar , Ars , Mwz nk , maeneo hayo yanahitaji mtu makini mwenye local and native touch na wananchi.
2.Gervas ni mtu asiye na staha, mgombea wa ubunge kumvamia na kumpiga mgombea udiwani wa CCM kata ya Vudee ndg Youze Mzava na kumjeruhi mbele za wananchi ni jambo la ajabu sana na lisilotakiwa kufanywa na mtu makini.
3.Anatakiwa afungiwe na NEC kufanya kampeni na jeshi la police liendelee na mchakato wa kumburuza mahakamani baada ya kukiri kuwa alimpiga.
Nawaomba NEC wasiwaachie bila adhabu watu wa aina hii. Mambo ya vurugu asiwapelekee wazee wetu huko vijijini, aendelee huko Arusha.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mgombea wa CCM anamtumia Polepole ili asifungiwe! NEC hawezi kumfungia mtu asiye mgombea.Walitangaza mapema kupitia vyombo vya habari kwamba mtu akitoa kashfa na matusi jukwaani (badala ya sera) ambayo hayana ushahidi, adhabu mojawapo ni kufungiwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa
Labda tujue ni sababu zipi zimetolewa na NEC mpaka wao kufikia uamuzi wa kuwafungia hawa?