Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni kweli au ndo friday as usual?
hii itakuwa habari njema. Lakini kama upepo ni mbaya hata asipojitoa bado wananchi watamtosa tu. Jamaa wa mkoa wa Mara huwa hawapendi upuuzi. "Amang'ana kasarikire mura"
Watasema CCM wameiba Kura!Tutakumbushana November!!!
Ahahaha ahahaha ahahaha........Kiburunye, umenichekesha sana hapo kwenye maandishi mekundu. Nimekumbuka mambo ya pale Burunga.