Elections 2010 Mgombea Ubunge wa Chadema Arusha mjini afunguliwa Mashtaka kwa kutishia kuua

Elections 2010 Mgombea Ubunge wa Chadema Arusha mjini afunguliwa Mashtaka kwa kutishia kuua

Hivi unamjua Lema kweli hadi ukafikia conclusion kuwa hakufanya hilo na ni njama za mpizani wake??? Yaleyale ya wanaCCM waliokuwa wakikamatwa na takukuru halafu utetezi wao pekee ni kuwa ni njama za wapinzani wao???

Heshima kwako Omarilyas

Bahati mbaya wachangiaji wengi hawapendi kuangalia pande mbili za shilingi wako tayari kutetea ujinga kwakuwa mkosaji ni mtu wao.Lema hakuwa na sababu za msingi kumtisha msimamizi wa uchaguzi eti akishindwa kwenye uchaguzi atamuua.Bahati mbaya Lema katamka maneno haya mbele ya watu kibao ushahidi upo tena usiokuwa na shaka subirini kesi itinge mahakamani mtashangaa jinsi alivyo mjinga.Nasisitiza tena na tena kwaajili ya kuweka rekodi sawasawa Lema anaponzwa na ukosefu wa elimu,laiti Lema angesoma vizuri angekuwa mwanasiasa mzuri pengine miaka ijayo angefaa kugombea urais.Jamani tuumize akili kidogo ili tuweza kupata majibu sahihi,kwanini Lema alidai ana Advance Diploma wakati anajua wazi hana hata sifa za kujiunga na kozi hiyo hana.Alikuwa na sababu gani za msingi kudanganya ilihali anajua anaweza kushtakiwa kwa kosa la kughushi elimu asiyokuwa nayo.

Namfahamu sana kaimu mkurugenzi wa jiji Bwana Estomie Chang'a tangu akiwa Assistant administrative officer na baadae Senior Administrative Officer ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha.Ni mtumishi wa serekali kama walivyo watumishi wengine wengi wa serekali kapelekwa pale baada ya mkurugenzi wa zamani kuboronga na si kama watu wengi wanavyodhani kahamishwa kwaajili ya kuandaa mazingira ya ushindi wa Mama Batilda.Hisia za kijinga na propaganda za Lema zinawaanda wapiga kura wake kukata tamaa kabla ya uchaguzi kufanyika.Serekali ina haki ya kumwamisha,kumwadhibu,kumfukuza kazi mtumishi yoyote kwa kufuata taratibu na sheria zilizopo.Uhamisho wa mkurugenzi umeleta tafrani kiasi hata mimi nilianza kuamini lakini baada ya kuzungumza na baadhi ya watumishi manispaa [jiji] walishangaa mkurugeni kuhamishwa badala ya kufukuzwa kazi na kushtakiwa.
 
Huyu si ndio mkurugenzi mpya? Nafikiri ameenza kazi iliyompeleka. Shit!

Hivi kuna sheria inayoikataza serekali kuteua mkurugenzi kipindi cha uchaguzi ?.

Mkuu tujadili mambo ya maana ukiniambia tume ya uchaguzi si huru nitakubaliana na wewe uhamisho wa mkurugenzi hautoi uhalali wa uchaguzi kuwa huru na haki.nchi nyingi za afrika hazi tume huru za uchaguzi tuanzie hapo kudai tume huru habari za uhamisho wa mkurugenzi ni hoja nyepesi ambazo Lema na kundi kubwa la wajinga wanaingia kirahisi.
 

Hivi kuna sheria inayoikataza serekali kuteua mkurugenzi kipindi cha uchaguzi ?.

Mkuu tujadili mambo ya maana ukiniambia tume ya uchaguzi si huru nitakubaliana na wewe uhamisho wa mkurugenzi hautoi uhalali wa uchaguzi kuwa huru na haki.nchi nyingi za afrika hazi tume huru za uchaguzi tuanzie hapo kudai tume huru habari za uhamisho wa mkurugenzi ni hoja nyepesi ambazo Lema na kundi kubwa la wajinga wanaingia kirahisi.

Jana nimesoma habari kwenye Raia Mwema, Jamaa wa Raia Mwema waliwasiliana na Wafanyabiashara wawili wanaodaiwa kudhulumiwa na Bwana Lema, Hao wafanya biashara Walikanusha na mmoja wao akasema wala hajawahi kufanya Biashara na Lema

Sasa kwa Sababu Habari za Lema kudaiwa zilikuwa za Kutunga basi hata hizi vile vile zitakuwa za Kutunga, nimewasiliana na Jamaa yangu wa Arusha ameniambia kwamba Lema anamtishia sana mama Batilda.

By The vipi hali ya Mama Batilda nasikia yuko Marekani kujifungua sasa nani anafanya Kampeni zake?
 
Jana nimesoma habari kwenye Raia Mwema, Jamaa wa Raia Mwema waliwasiliana na Wafanyabiashara wawili wanaodaiwa kudhulumiwa na Bwana Lema, Hao wafanya biashara Walikanusha na mmoja wao akasema wala hajawahi kufanya Biashara na Lema

Sasa kwa Sababu Habari za Lema kudaiwa zilikuwa za Kutunga basi hata hizi vile vile zitakuwa za Kutunga, nimewasiliana na Jamaa yangu wa Arusha ameniambia kwamba Lema anamtishia sana mama Batilda.

By The vipi hali ya Mama Batilda nasikia yuko Marekani kujifungua sasa nani anafanya Kampeni zake?

Mkuu mwandishi wa Raiamwema Sarawatti na mwingine Lyimo anaandikia Mwananchi walikuwa wapambe wa Felex Mrema wanamsaidia Lema kuponya machungu ya bosi wao kupigwa chini.

Kwa taarifa yako kaimu mkurugenzi kaombwa asipeleke kesi mahakamani ili kukwepa kumpandisha chati Lema kawakatalia kawaambia maisha yake ni bora kuliko CCM kushinda uchaguzi.CCM hawajali maisha ya mtu wanachoangalia ni jinsi gani watapa ushindi ingawa kadri muda unavyosonga mbele hali ya Mama Batilda inazidi kuwa mbaya.
 
Amefikishwa wapi?polisi au mahakamani,nachojua mimi ni kwamba tuhuma hizo zimepelekwa polisi na polisi wameanza uchunguzi ili kujua kama ni kweli au su kweli.Kama zina ukweli basi atafikishwa mahakamani na haki itatendeka tusiwe na wasiwasi.Hata hivyo,mimi wasiwasi wangu ni kutendewa haki kwa mgombea wa Chademe na huyu msimamizi wa uchaguzi kwa kuwa his independence is already impaired,fairness shall not prevail,this is double standard.
 
Laiti kama Lema angeendesha kampeni zake bila MATUSI na KASHFA zisizokuwa na msingi, badala yake akawa anaelezea sera za chama na atakachowafanyia wana wa Arusha mjini, nina hakika angeshinda kwa kishindo na hayo yote yanayomwandama yasingekuwepo. Watu hawamtaki Batilda kabisa ila washauri wa Lema wasipomshauri vyema naye itakuwa vigumu kushinda pia. Watanzania wameamka kisiasa, ahadi tamu tamu zisizotekelezeka, matusi pamoja kupakana matope sio mtaji tena katika siasa za Bongo. Lema soma nyakati !!
 
hapa sasa sisi wakazi wa arusha wanatutaka ubaya. kuna mambo mengi ambayo wamefanya ili kuongeza kura za Batilda la kwanza wameongeza eneo la manispaa ya Arusha ili wapate sehemu ya kuchakachulia kura za hapa. imekuwa maajabu sana huyu mama kumshinda Mrema na mbinu iliyotumika ni ya kuongeza eneo la manispaa ambako ndiko alikopatia ushindi kwa kuwadanganya wamasai lakini nao wameshashtuka kwamba wanatumika. ukiwa kwenye gari au soko kuu hapa town uliza mama au muuzaji yoyote kuhusu huyu mama wanasema hata hawataki kumsikia kwa kuwa ni fisadi anashilikiana na Lowassa. mwaka huu ni wa CHADEMA mpaka kieleweke
 
Laiti kama Lema angeendesha kampeni zake bila MATUSI na KASHFA zisizokuwa na msingi, badala yake akawa anaelezea sera za chama na atakachowafanyia wana wa Arusha mjini, nina hakika angeshinda kwa kishindo na hayo yote yanayomwandama yasingekuwepo. Watu hawamtaki Batilda kabisa ila washauri wa Lema wasipomshauri vyema naye itakuwa vigumu kushinda pia. Watanzania wameamka kisiasa, ahadi tamu tamu zisizotekelezeka, matusi pamoja kupakana matope sio mtaji tena katika siasa za Bongo. Lema soma nyakati !!


Heshima kwako Ngorunde,

Wananchi wa Tanzania wanataka kufanya mageuzi nina hakika watafanya baada ya kuchoshwa na utawala mbovu wa CCM.Watanzania wanayo sababu na uwezo wa kukiondosha chama kilichotawa tangu uhuru mpaka sasa yapata miaka hamsini wananchi hawana uhakika wa maji safi,elimu bora,barabara zinazopitika majira yote ya mwaka,hawana haki na rasilimali zao[mikataba mibovu ya madini],hakuna uongozi bora,uchaguzi huru na haki nalo ni tatizo labda wahisani watufadhili,katiba mbaya,ufisadi na nk.Mwl Nyerere aliwahi kusema anaipenda CCM lakini si zaidi ya Tanzania.

Sababu za kuiondoa CCM madarakani zipo hakuna wa kubisha kama yupo atakuwa anashindana na wakati hatakuwa hajui kusoma alama za nyakati hatachwa njiani.Nina hakika watanzania wenye akili sawasawa watampatia kura za kutosha Dr W Slaa na wapambanaji wa kweli ili waweze kumsaidia kuongoza nchi nasema kusema kuongoza na si kutawala nchi.Wapo wapambanaji wengi kuanzia kuskazini mpaka kusini,magharibi hadi mashariki bahati mbaya Godbless Lema si miongoni mwa wapambanaji historia itakuja kutupatia majibu mazuri siku moja.
 
MODS; Mimi nadhani hii habari siyo kweli. Nimesoma leo magazeti ya T Daima, Mwananchi na Nipashe ambayo nina hakika habari hiyo isingeachwa lkuchapishwa akini hamna. Sijui magazeti mengine.
Sijakuelewa wapi hakuna ukweli, kwamba TBC1 wamepika au alieileta jamvini. Lakini hata mimi nionyeshe mshangao wangu nilitegemea kuikuta angalau kwenye Tanzania daima.
Habari hii ilisomwa TBC1 na kuthibitiswa na Kamanda wa polisi wa Mkoa na hata Lema mwenyewe aliizungumzia kwenye mkutano wake wa kampeni.
 
Heshima kwako Ngorunde,

Wananchi wa Tanzania wanataka kufanya mageuzi nina hakika watafanya baada ya kuchoshwa na utawala mbovu wa CCM.Watanzania wanayo sababu na uwezo wa kukiondosha chama kilichotawa tangu uhuru mpaka sasa yapata miaka hamsini wananchi hawana uhakika wa maji safi,elimu bora,barabara zinazopitika majira yote ya mwaka,hawana haki na rasilimali zao[mikataba mibovu ya madini],hakuna uongozi bora,uchaguzi huru na haki nalo ni tatizo labda wahisani watufadhili,katiba mbaya,ufisadi na nk.Mwl Nyerere aliwahi kusema anaipenda CCM lakini si zaidi ya Tanzania.

Sababu za kuiondoa CCM madarakani zipo hakuna wa kubisha kama yupo atakuwa anashindana na wakati hatakuwa hajui kusoma alama za nyakati hatachwa njiani.Nina hakika watanzania wenye akili sawasawa watampatia kura za kutosha Dr W Slaa na wapambanaji wa kweli ili waweze kumsaidia kuongoza nchi nasema kusema kuongoza na si kutawala nchi.Wapo wapambanaji wengi kuanzia kuskazini mpaka kusini,magharibi hadi mashariki bahati mbaya Godbless Lema si miongoni mwa wapambanaji historia itakuja kutupatia majibu mazuri siku moja.

Mdau unaonekana una chuki binafsi na bw. Lema, kama si chuki binafsi basi umetumwa kumchafua.
Tangu mwanzo umekuwa ukimkandia bw. Lema na kumpamba bw. Lyimo wa TLP, lakini baada ya kugundua kuwa bw. Lyimo hauziki kwa wapiga kura, umeacha kumpamba na umehamishia nguvu zote kumshambulia bw. Lema.
Ingawa ni haki yako kumnadi mtu unayempenda, lakini ni vizuri ukaacha chuki binafsi namna hiyo. Arusha haukai peke yako wako wengi wanaishi huko na hali ya kisiasa wanaiona vizuri sana na wanatueleza ukweli bila kupindisha wala kuongeza uongo kama unavyojaribu kutuaminisha hapa.
Arife punguza chuki, bw. Lema akishinda ubunge utahama arusha?
 
Sijakuelewa wapi hakuna ukweli, kwamba TBC1 wamepika au alieileta jamvini. Lakini hata mimi nionyeshe mshangao wangu nilitegemea kuikuta angalau kwenye Tanzania daima.
Habari hii ilisomwa TBC1 na kuthibitiswa na Kamanda wa polisi wa Mkoa na hata Lema mwenyewe aliizungumzia kwenye mkutano wake wa kampeni.
Kwani TBC1 ni malaika kwamba wao hawawezi kusema uongo, Marksman kasema si za kweli hajasema wewe si mkweli tofautisha hapo.
 
Sasa kumfungulia mashtaka kuna kutia wasiwasi gan? mbona akina mramba na chenge wana kesi kabisa mahakamani lakini wapotu majukwaani??
 
Mdau unaonekana una chuki binafsi na bw. Lema, kama si chuki binafsi basi umetumwa kumchafua.
Tangu mwanzo umekuwa ukimkandia bw. Lema na kumpamba bw. Lyimo wa TLP, lakini baada ya kugundua kuwa bw. Lyimo hauziki kwa wapiga kura, umeacha kumpamba na umehamishia nguvu zote kumshambulia bw. Lema.
Ingawa ni haki yako kumnadi mtu unayempenda, lakini ni vizuri ukaacha chuki binafsi namna hiyo. Arusha haukai peke yako wako wengi wanaishi huko na hali ya kisiasa wanaiona vizuri sana na wanatueleza ukweli bila kupindisha wala kuongeza uongo kama unavyojaribu kutuaminisha hapa.
Arife punguza chuki, bw. Lema akishinda ubunge utahama arusha?

Povu linakutoka mkuu yaani niame Arusha kwasababu Lema kashinda ubunge,mbona sikuhama Felex Mrema aliposhinda ingawa aliununua.Inawezekana una ulemavu wa akili kwanini kila wakati mnataka kutulazimisha kusifia ujinga.Kampeni za Lema zimejaa kejeli,matusi na kashfa haelezi atafanya nini akishinda ubunge zaidi ya kudanganya watu atahamisha stendi kuu na kujenge machinga complex akiulizwa fedha atatoa wapi anakuwa mkali!.

Tunashangaa ahadi za kikwete kwamba atajenge reli,atajenga barabara,viwanja vitatu vya kimataifa ndani ya miaka mitano lakini hatushangai mbunge anapotoa ahadi za uongo.
 


Povu linakutoka mkuu yaani niame Arusha kwasababu Lema kashinda ubunge,mbona sikuhama Felex Mrema aliposhinda ingawa aliununua.Inawezekana una ulemavu wa akili kwanini kila wakati mnataka kutulazimisha kusifia ujinga.Kampeni za Lema zimejaa kejeli,matusi na kashfa haelezi atafanya nini akishinda ubunge zaidi ya kudanganya watu atahamisha stendi kuu na kujenge machinga complex akiulizwa fedha atatoa wapi anakuwa mkali!.

Tunashangaa ahadi za kikwete kwamba atajenge reli,atajenga barabara,viwanja vitatu vya kimataifa ndani ya miaka mitano lakini hatushangai mbunge anapotoa ahadi za uongo.
 
Last edited by a moderator:

Povu linakutoka mkuu yaani niame Arusha kwasababu Lema kashinda ubunge,mbona sikuhama Felex Mrema aliposhinda ingawa aliununua.Inawezekana una ulemavu wa akili kwanini kila wakati mnataka kutulazimisha kusifia ujinga.Kampeni za Lema zimejaa kejeli,matusi na kashfa haelezi atafanya nini akishinda ubunge zaidi ya kudanganya watu atahamisha stendi kuu na kujenge machinga complex akiulizwa fedha atatoa wapi anakuwa mkali!.

Tunashangaa ahadi za kikwete kwamba atajenge reli,atajenga barabara,viwanja vitatu vya kimataifa ndani ya miaka mitano lakini hatushangai mbunge anapotoa ahadi za uongo.

Bw. Ngongo nimefuatilia posts zako nyingi kuhusu bwana 'Lema'. Actually unaongea 'facts' ambazo sio za siri kuhusu mapungfu yake. Naamini kila mpiga kura atakuwa anayafahamu (kama sio wote, basi wengi) haya mapungufu. Ni mwenda wazimu tu atakayekubali kumpigia kura mtu mwenye sifa kama hizo. Lkaini tusuburi tarehe 31, kama bw Lema atapata kura idadi ambayo haitakuwa rahisi kupatikana kutoka kwa yeye mwenyewe, ndugu zake na marafiki zake, then Bw. Ngongo, MWENDAWAZIMU UTAKUWA WEWE kwa kuamua kwa maslahi binafsi kumchafua mgombea. Nitakukumbusha baada ya matokeo kutoka...
 
Nilijua tu kwa hali niloiona pale Arusha ningeshangaa kama wasingembambikizia kesi!

Me na dhani huyo mji wa Arusha unamatatizo ya ukabila au matabaka fulani either Waarusha i mean watu wa arusha tabakalingine ni la Wakilimanjaro yaaani watu wa kutoka Kilimanjaro sasa hapo naona ndilo tatizo kuna kati ya hao mmoja wao ameushika huo mji na wao ndio wanajiona wao sasa

Tabaka lingine ni la vyama sasa unakuta sasa ndani ya CCM ndio kuna makundi mawili mmoja mpiga UFISADI na lingine la WABAKA UCHUMI a.k.a MAFISADI sasa mpalaganyiko uko hapo kwani choko choko yote hiii ni kwa asilimia kubwa tuu ni CCM kuwa na uongozi mbovu na walivyosimamia kura za maoni ndiko kumewapeleka hapo mkichunguza sana kwa umakinifu.

Tabaka lingine ni sasa vyombo vya dola na serikali yake kutiii amri ya viongozi walioko madarakani kwanini nimesema hivyo kwa wale walio sikia kipindi cha Jahazi jana Ephraim Kibonde alisoma tamko la police na moja ya vipengele walivyo toa police ni "Tuta tiii amri ya viongozi walioko madarakani katika kuhahikisha usalama unakuwepo na hiyo amri akitolewa leo eg Masha kasema hapa nyamagana kuna kundi furani sina imani nalo lishughurikiwe basi police wao ni kutii amri kwani sibado nikiongozi yuko madarakani sasa basi ndio hayo ya huyo mkurugenzi mpya aliepelekwa huko Arusha yeye kama yeye ajishangai kufika tuu oficen na kesho unatoa hukumu jamani hao NEC ya makame wanafanya kazi gani kweli kufika na kureport kazini siku hiyo tuu na kutoa hukumu lazima wananchi watatilia shaka uamuzi huo jamani watanzania wamesoma msiwadharau kiasi hicho. Nao TAKUKURU jamani khaaa wanatia aibu sana kuwa vibaraka wa wagombea ku leak information as if wanajaaaa pita kiasi??

The Dreamer:
Huyu si ndio mkurugenzi mpya? Nafikiri ameenza kazi iliyompeleka

Ndie yeye huyo Mkurugenzi mpya kama pia nawe unafuatailia habari za magazetini alitajwa last week

 
Kwani TBC1 ni malaika kwamba wao hawawezi kusema uongo, Marksman kasema si za kweli hajasema wewe si mkweli tofautisha hapo.


Mbona Dr. Batilda usiku Buriani anavyogonga milango ya watu kule Oloirien usiku hasemwi? Au kwa vile yupo kwa kofia ya Chama Tawala?
 
Bw. Ngongo nimefuatilia posts zako nyingi kuhusu bwana 'Lema'. Actually unaongea 'facts' ambazo sio za siri kuhusu mapungfu yake. Naamini kila mpiga kura atakuwa anayafahamu (kama sio wote, basi wengi) haya mapungufu. Ni mwenda wazimu tu atakayekubali kumpigia kura mtu mwenye sifa kama hizo. Lkaini tusuburi tarehe 31, kama bw Lema atapata kura idadi ambayo haitakuwa rahisi kupatikana kutoka kwa yeye mwenyewe, ndugu zake na marafiki zake, then Bw. Ngongo, MWENDAWAZIMU UTAKUWA WEWE kwa kuamua kwa maslahi binafsi kumchafua mgombea. Nitakukumbusha baada ya matokeo kutoka...


Mkuu Tuko,

Umeshindwa kuelewa kitu kimoja muhimu Tanzania ukiwa mchafu/fisadi bado unaweza kushinda uchaguzi.Ikitokea Lema akashinda ubunge hakutaondoa kwamba aliuza ubunge,alishiriki kumuuza diwani wa upinzani CCM,anasema uongo kuhusu elimu yake.

Mkuu wangu pamoja na makosa kibao Lowasa atashinda ubunge Monduli,Rostam anaweza kushinda ubunge Igunga,Mramba anaweza shinda ubunge Rombo na Chenge anaweza kushinda ubunge huko Bariadi.Kushinda kwao ubunge hakuondoi madhambi/makosa waliyotenda natumaini somo litakuwa limekuingia vyema.

Watanzania wakati mwingine ni watu wa ajabu kidogo wanaweza kumchagua diwani/diwani au rais kwa kutazama sura,kabila,dini auamambo ya hovyo tu kwahiyo usishangae mjengoni wakaingia wabunge wabovu.Inshallah tunaomba Mungu isiwe hivyo ndiyo maana tukiona uchafu tunaupigia kelele bila kujali mchafu anawakilisha chama gani.
 
Povu linakutoka mkuu yaani niame Arusha kwasababu Lema kashinda ubunge,mbona sikuhama Felex Mrema aliposhinda ingawa aliununua.Inawezekana una ulemavu wa akili kwanini kila wakati mnataka kutulazimisha kusifia ujinga.Kampeni za Lema zimejaa kejeli,matusi na kashfa haelezi atafanya nini akishinda ubunge zaidi ya kudanganya watu atahamisha stendi kuu na kujenge machinga complex akiulizwa fedha atatoa wapi anakuwa mkali!.

Tunashangaa ahadi za kikwete kwamba atajenge reli,atajenga barabara,viwanja vitatu vya kimataifa ndani ya miaka mitano lakini hatushangai mbunge anapotoa ahadi za uongo.

Kama nilivyosema hapo awali, unasumbuliwa na chuki binafsi. Na hapo arusha kuna baadhi ya watu mnajiita wazawa, hamtaki kuongozwa na mchaga, na kwa kuthibitisha ukabila ulionao unasema hata Felix Mrema ulikuwa unamchukia.
Kama hauna wivu wa kijinga na ukabila, usiishie kumchafua Lema, piga hatua moja mbele utujulishe sifa na mapungufu ya wagombea wengine. Huyo mama anayegawa rushwa waziwazi ndiye unamuona wa maana? Shame on you arife.
 



Watanzania wakati mwingine ni watu wa ajabu kidogo wanaweza kumchagua diwani/diwani au rais kwa kutazama sura,kabila,dini auamambo ya hovyo tu kwahiyo usishangae mjengoni wakaingia wabunge wabovu.Inshallah tunaomba Mungu isiwe hivyo ndiyo maana tukiona uchafu tunaupigia kelele bila kujali mchafu anawakilisha chama gani.

Na wewe ni miogoni mwao hao watanzania wa ajabu(au we alshabab? manake hapo arusha wasomali mko wengi) Ndio maana mnampigia bede JK kwa kumuangalia sura badala ya uwezo wa utendaji. we bana vipi wewe, umetoka kutafuna ile kitu nini?
 
Back
Top Bottom