Elections 2010 Mgombea ubunge wa CHADEMA Arusha mjini (Lema) akamatwa


I see!! lakini kila penye mwanzo lazima pana mwisho.... iko siku yake huyo EL na si mbali sana.
 

Heshima kwako Crashwise,

Maelezo yako ni sahihi kabisa kwa mara ya kwanza umeeleza issue ya Lema bila ushabiki.
Mkuu Lema hana haja ya kubishana na askari ambaye alimshauri vizuri lakini hakutaka kutii tena alimtukana askari kwa kumwambia wewe ni kibaraka wa Kikwete.nadhani unaijua Arusha vizuri kitu kidogo jam.Inaonyesha huko karibu na Lema tafadhali mshauri awe mstaharabu.
 
Polisi baada ya kulinda usalama wa raia ndo wanakuwa mstari wa mbele kuvuruga usalama wa raia. Nawashauri wasiendeshwe na wanasiasa maana 31 Oct 2010 mambo yanaweza kubadilika kabisa wakajikuta waliowapinga ndo wanakuwa maboss wao. Muda huo wanasiasa wa CCM watawatosa
 
I see!! lakini kila penye mwanzo lazima pana mwisho.... iko siku yake huyo EL na si mbali sana.
I agree mkuu... But while that time inakuja, we should appreciate the real time scenario
 

:biggrin1:
 
Sidhani kama kuitwa kibaraka ni tusi. Hajatukanwa mtu hapo!
 
mpaka sasa ni wagombea wangapi wa upinzani wanashikiliwa na polisi????
1. Arusha
2. Tanga
3. Moshi

Na nilisikia majuzi kuna mmoja wa udiwani sijui ni wapi kala miezi minane kwa kosa la ajabuajabu tu.

Je ni concidence?????? Au mchezo mchafu maana yule wa Tanga anashikiliwa kwa tuhuma za 2008.
 
wakati batrida anafungua kampeni zake alikuwa na msafara mrefu ulioleta jam karibu masaa mawili .hakuna askari aliyesimamisha, kuvuluga wala kupiga watu.Iweje leo kwa lema iwe issue! huyu basilo ni kibaraka na ni mchovu wa mawazo.hatuwezi kuongozwa na wajinga kama yeye
 
Polisi wanasema alikuwa anafanya maandamano yeye anasema sio kweli, ukweli ni kwamba alikuwa kwenye gari sasa suala la kuandamana bila kibali linakujaje?
Siasa za maji machafu.
 
Sikumbuki kuandika habari za kishabiki anyway tuendelea kubisha kwa hoja...ila kura yako kwa Lema nyingine kwa Dk Slaa
 
Lema ana cha kupoteza kuliko mgombea mwingine yeyote kwa kiti cha ubunge Arusha. Yeye ndiye mshindi tayari tena kwa kishindo.....asichofahamu ni kitu kinaitwa hujuma. Ndicho anachofanyiwa Mbowe.

Majasusi maalum wamekwisha wasoma tabia na wanachofanya ni kutumia mbinu za kuwachonganisha na jeshi la polisi. Lema ajitahidi kwa kiasi kikubwa kukwepa mtego huu.

Unapokuwa umeshinda hata kabla ya kura, adui mwerevu hutafuta njia nyingine nje ya uwanja wa vita kukumaliza, ikiwemo kukutafutia kesi.

Walifikiri Lema angeweza hata kupigana na polisi kwa jazba.....hapo ingekuwa kesi nyingine......watajaribu kuwategea hata 'murder case' ili tu walazimishe ushindi kwa girl friend wao.
 
Polisi wanasema alikuwa anafanya maandamano yeye anasema sio kweli, ukweli ni kwamba alikuwa kwenye gari sasa suala la kuandamana bila kibali linakujaje?
Siasa za maji machafu.
sijui sheria inasemaje maana ni kwamba alikuwa kwenye magari yasiyo puungua 30...lakini kwa maelezo ya Lema inaonekana maandamano nimpaka yanahusishe watembea kwa miguu
 
Sikumbuki kuandika habari za kishabiki anyway tuendelea kubisha kwa hoja...ila kura yako kwa Lema nyingine kwa Dk Slaa

Mkuu,

Ngongo anaweza kumpa Slaa kura yake. lakina kumpa Lema ... du! si rahisi. Sijui mwenzetu Ngongo walicross wapi njia zao na Lema
 
Mkuu,

Ngongo anaweza kumpa Slaa kura yake. lakina kumpa Lema ... du! si rahisi. Sijui mwenzetu Ngongo walicross wapi njia zao na Lema
Nasubiri uchanguzi ukiisha nitamuuliza vizuri kisa cha kuwa na chuki na Lema wakati huo Lema akielekea DODOMA
 
Mkuu,

Ngongo anaweza kumpa Slaa kura yake. lakina kumpa Lema ... du! si rahisi. Sijui mwenzetu Ngongo walicross wapi njia zao na Lema

Heshima kwako Misterdennis,

Mkuu unajua nilipangiwa kwenda Nairobi kikazi kuanzia tarehe 29/10/2010 mpaka 03/11/2010 nikaitolea nje wafanyakazi wenzangu wananishangaa kulikoni nikawaambia lazima nipige kura kwanza wakanicheka sana kwamba kura yako moja haiwezi kuathiri matokeo bwana[NB:unajua mambo ya posho za kusafiri zinavyochangamkiwa na wafanyakazi].
Mkuu sihitaji kuambiwa,kushawishiwa,kurubuniwa kumpigia kura Dr W Slaa,mke wangu,jirani zangu,beki tatu wangu bahati mbaya sina mtoto mwenye umri wa miaka 18 tutajihimu asubuhi na mapema kuwahi kituoni kutimiza wajibu wetu kwa taifa.Wakuu kura yako moja bila kuwashawishi wanaokuzunguka ni kulikosea taifa adabu tafadhali sana timizeni wajibu wenu kwa watoto wenu na Tanzania ya baadaye.

Mkuu Lema hapati kura yangu hilo liko wazi kabisa uhitaji kuwa mtabiri mbabaishaji kama Sheckh Yahaya kubaini hilo, sababu za kutompa kura zipo na nimeshazieleza kwa kina hakuna mwanajamvi hata mmoja aliyeweza kutoa utetezi wenye mashiko.Lema akishinda ubunge bila kura yangu sitajificha kwamba sikumpa kura yangu nitakuwa wazi nitaona fahari kubwa kwamba mimi si mmoja wa watu walioshindwa kufikiri na kufanya maamuzi sahihi.Watanzania wanoshindwa kufikiri kidogo na kufanya maamuzi sahihi wako wengi sana bahati mbaya Arusha haitakuwa na tofauti na Monduli,Nzega,Bariadi na nk.
 
Nasubiri uchanguzi ukiisha nitamuuliza vizuri kisa cha kuwa na chuki na Lema wakati huo Lema akielekea DODOMA


Heshima kwako Crashwise,

Sababu za kumchukia Lema hazina tofauti na sababu za kumchukia Mramba,Chenge,Lowassa na Rostam Azizz.Tofauti inawekuwa ndogo sana kwamba Lema hajafanya ufisadi wa kulidhuru taifa moja kwa moja akipata nafasi hakika ataitumia vyema wengi wetu mtabaki kushangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…