Nashangaa HABARI LEO hawajaandika CCM waua???
Nyie waandishi wa Habari leo mtaganga njaa mpaka lini???
yani CCM hii kampuni ya CCM ni wavunja haki na wavunja sheria sijui wanafikiri Tanzania ni CCM??
ukitaka kujua ujinga wao angalia mtu yeyete anayejua anavunja sheria anaweka Bendera yao juu, Mmachinga amesimama eneo ambalo haliruhusiwi anahalalisha kwa kuweka Bendera ya CCM, Milori mibovu, migari mibovo, sehemu Taxi zinapopaki na wakakataliwa utaona wanaanzisha Tawi la CCM, hivi hamuwezi kutumia akili na kujua serikali bila sheria sio serikali... yani huku vijijini wanapouza Pombe za gongo ili wasikamatwe wanaweka bendera ya CCM....
mpaka watoto wadogo mtoto akimpiga mwenzake anamwambia unajifanya wewe ni mtoto wa kigogo wa CCM??
CCM INATUPELEKA WAPI JAMANI....
EHEE MUNGU TUHURUMIE!!! WANACHIMBA DHAHABU MVUMI WAMEFUNIKA KWA KIWANDA CHA WINE , WANADANGANYA WANANUNUA ZABIBU ZA WATANZANIA KUMBE WANATOKA NA MATERIAL YAO ITALI....
VIONGOZI WAKIWATEMBELEA WANAINGIZWA CHUMBA CHA NDANI WANAPEWE WINE WANARUDI WAKICHEKA......
KAMA MNADHANI MIMI NI MUONGO MUULIZENI MRAMBA NANI ALIYEMSAIDIA ASHINDE 2005
TUTAKUTANA MBINGUNI HATA TONE LA MAJI SITAWADONDOSHEA.....