Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge wa Mbeya Mjini, Tulia Ackson afanya kampeni na watoto wadogo

Waacheni wototo waje kwake maana ufalme wa TULIA ni wao.
 
Mbeya pagumu sana raia hawamtaki Tulia aka Betina hadi anaowapa rushwa wapiga debe wote wamevaa jezi zake lakini wanakwambia KULA kwa Tulia lakini KURA kwa sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…