Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni wa CCM ... tu Ila sifa ya mtu kufaNdugu Theofily Kweyamba maarufu kama Lowassa mgombea wa udiwani CCM kata ya Kayanga wilaya ya Karagwe amefariki ghafla wakati akienda kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa nafasi ya udiwani.
Mpaka sasa haijafamika chanzo cha kifo chake
Poleni wafiwa wote
Huyo ni zaidi ya 40Life starts at 40[emoji4]
Yes...lakini maisha halisi yaananza na 40! Kwahiyo ni sawa kwa age yake kuzisakaHuyo ni zaidi ya 40
Mungu hadhihakiwi, anajibu kwa moto!Ndugu Theofily Kweyamba maarufu kama Lowassa mgombea wa udiwani CCM kata ya Kayanga wilaya ya Karagwe amefariki ghafla wakati akienda kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa nafasi ya udiwani.
Mpaka sasa haijafamika chanzo cha kifo chake
Poleni wafiwa wote
Kaxi ni nini?
wew matarcle utaishi mileleAmepambania nini sasa