Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Kanuni za uchaguzi zina ruhusa hayo au wewe unaongea kwa matakwa yako maana tayari zipo kanuni zinazokataza kutumia lugha nyingine zaidi ya kiswahili na endapo kuna umuhimu wa kutumia awepo mkalimani jambo ambalo halifanyiki kinyume na kanuni za uchaguzi.
kuhoji kuongea kinyume na kanuni za uchaguzi ajionyonge tena ?we kweli umejaa samadi kichwani
Acha uendawazimu wako lugha ambayo anaitumia ni ya kanda ya ziwa na kampeni zipo kanda ya ziwa na pia anachokinadi ni kwa ajili ya kanda ya ziwa wewe kina kuwasha nini acha ulofaJamaa ana siasa za kishamba sana, siasa za ukabila na ukanda, its not worth for our nation!
Majungu tu hayo weka ushahidi wa hatia aliyokutwa nayo.NEC kwa CCM hawafuati sheria kama kule njombe mgombea ubunge kakutwa na hatia ya ukwepaji kodi na ameruhusiwa kugombea
Sheria za NEC zina macho. Zikiona ccm zinakuwa kibogoyo, lkn zikiona upinzani zinaota meno makali.Sheria kipofu
Tanzania hii mwenye msuli wa kumchana Magufuli laivu laivu ni wachache sana, kama NEC wote wanamuogopa , labda NEC wamtumie rais mteule Tundu LissuTBC katika taarifa yao kwa maelekezo kutoka Tume ya Uchaguzi ya Taifa wametoa maangalizo mengi lakini mimi moja ambalo nimeliona kama mgombea Urais kupitia CCM analikiuka sana.
Lile tangazo linasema kuwa kama mgombea atakuwa jukwaani anamwaga sera basi atumie lugha ya Kiswahili tu, kama kutaonekana kuna haja ya kutumia lugha nyingine yaani native ya kikabila basi atafutwe mkalimani hili afasili na kufikisha ujumbe.
Cha kushangaza leo kuazia hile mitaa ya kina Kitwanga hadi Geita hadi kwa akina Msukuma hadi mwanza. Mzee nimemwona anakandamiza Kisukuma kwa sana. Hii lugha ya watani zangu ni nzuri kusikiliza maana hujui wanatumia ule ugali mgumu au nini, maana amekuwa anakandamiza njia nzima. Pia amekuwa anamwita Fisiti Ledi Mama yule mpole sana tena mwalimu naye anaanza kwanza kwa kukandamiza alafu anaomba kura kwa Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa kifupi wamekandamiza njia nzima.
Tunaomba mwongozo kwa vyombo vinavyohusika vitoe tafsiri kuhusu hili kwani linaweza kuchochea ukabila hapa Tanzania, na pia nimponge mgombea wa Urais kupitia CCM kwa kuwa ananadi sera zake bila kutumia lugha ngumu au kutupa mitusi kama baadhi ya wagombea wengine, kwani nimewaona wanakomaa na mtu binafsi, kashfa, mitusi na kujisahau kuwa watanzania wamekusanyika kusikiliza sera atawafanyia nini pindi watakapo mchagua, wanakuta kumbe akipata uongozi atakomaa na mtu flani.
TBC katika taarifa yao kwa maelekezo kutoka Tume ya Uchaguzi ya Taifa wametoa maangalizo mengi lakini mimi moja ambalo nimeliona kama mgombea Urais kupitia CCM analikiuka sana.
Lile tangazo linasema kuwa kama mgombea atakuwa jukwaani anamwaga sera basi atumie lugha ya Kiswahili tu, kama kutaonekana kuna haja ya kutumia lugha nyingine yaani native ya kikabila basi atafutwe mkalimani hili afasili na kufikisha ujumbe.
Cha kushangaza leo kuazia hile mitaa ya kina Kitwanga hadi Geita hadi kwa akina Msukuma hadi mwanza. Mzee nimemwona anakandamiza Kisukuma kwa sana. Hii lugha ya watani zangu ni nzuri kusikiliza maana hujui wanatumia ule ugali mgumu au nini, maana amekuwa anakandamiza njia nzima. Pia amekuwa anamwita Fisiti Ledi Mama yule mpole sana tena mwalimu naye anaanza kwanza kwa kukandamiza alafu anaomba kura kwa Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa kifupi wamekandamiza njia nzima.
Tunaomba mwongozo kwa vyombo vinavyohusika vitoe tafsiri kuhusu hili kwani linaweza kuchochea ukabila hapa Tanzania, na pia nimponge mgombea wa Urais kupitia CCM kwa kuwa ananadi sera zake bila kutumia lugha ngumu au kutupa mitusi kama baadhi ya wagombea wengine, kwani nimewaona wanakomaa na mtu binafsi, kashfa, mitusi na kujisahau kuwa watanzania wamekusanyika kusikiliza sera atawafanyia nini pindi watakapo mchagua, wanakuta kumbe akipata uongozi atakomaa na mtu flani.
Watanzania tuthamini lugha zetu sisi wenyewe [/QUOTED]
Lugha yetu ni kiswahili, kutumia kiswahili ni uzalendo tosha wa kuenzi utamaduni wetu.
Ubaya upo, kasome kanunni za NEC ndiyo utajua ni kosa kutumia kilugha. Ila kwa sababu NEC imewekwa mfukoni na Magufuli, basi ndiyo maaana Magufuli anajifanyia anavyotaka.Kwani kuna ubaya gani akiongea kisukuma wakati wengi wa wanaomsikiliza wanafahamu lugha hiyo.
Lakini angeongea Kiingereza hakuna hata moja angelalamika. Watanzania tuthamini lugha zetu sisi wenyewe. Kwani kuna ubaya gani akiongea kisukuma wakati wengi wa wanaomsikiliza wanafahamu lugha hiyo. Mwachemi JPM awe JPM na nyinyi mkiwa marais muwe mna-copy and paste kama wanavyofanya kina Trumpet na vipapeti vyao.
BTW kisukuma kimesaidia kukua kwa kiasi kikubwa kwa lugha ya Kiswahili.
unajua kanuni za uchaguzi zinasemaje ,yaani mmekuwa wapumbavu kutuletea ujingaAcha uendawazimu wako lugha ambayo anaitumia ni ya kanda ya ziwa na kampeni zipo kanda ya ziwa na pia anachokinadi ni kwa ajili ya kanda ya ziwa wewe kina kuwasha nini acha ulofa
Anaetakiwa kumdhibiti kamteua yeye waza nini kitatokeaTBC katika taarifa yao kwa maelekezo kutoka Tume ya Uchaguzi ya Taifa wametoa maangalizo mengi lakini mimi moja ambalo nimeliona kama mgombea Urais kupitia CCM analikiuka sana.
Lile tangazo linasema kuwa kama mgombea atakuwa jukwaani anamwaga sera basi atumie lugha ya Kiswahili tu, kama kutaonekana kuna haja ya kutumia lugha nyingine yaani native ya kikabila basi atafutwe mkalimani hili afasili na kufikisha ujumbe.
Cha kushangaza leo kuazia hile mitaa ya kina Kitwanga hadi Geita hadi kwa akina Msukuma hadi mwanza. Mzee nimemwona anakandamiza Kisukuma kwa sana. Hii lugha ya watani zangu ni nzuri kusikiliza maana hujui wanatumia ule ugali mgumu au nini, maana amekuwa anakandamiza njia nzima. Pia amekuwa anamwita Fisiti Ledi Mama yule mpole sana tena mwalimu naye anaanza kwanza kwa kukandamiza alafu anaomba kura kwa Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa kifupi wamekandamiza njia nzima.
Tunaomba mwongozo kwa vyombo vinavyohusika vitoe tafsiri kuhusu hili kwani linaweza kuchochea ukabila hapa Tanzania, na pia nimponge mgombea wa Urais kupitia CCM kwa kuwa ananadi sera zake bila kutumia lugha ngumu au kutupa mitusi kama baadhi ya wagombea wengine, kwani nimewaona wanakomaa na mtu binafsi, kashfa, mitusi na kujisahau kuwa watanzania wamekusanyika kusikiliza sera atawafanyia nini pindi watakapo mchagua, wanakuta kumbe akipata uongozi atakomaa na mtu flani.
Sijataka hata kusoma maelezo yako lakini ukiwa sehemu ya kwenu hilo halizuiliki,ndiyo maana hata Tundu Lisu aliongea kiruga chao kule kwao majuzi tu wakati amekwenda kuleTBC katika taarifa yao kwa maelekezo kutoka Tume ya Uchaguzi ya Taifa wametoa maangalizo mengi lakini mimi moja ambalo nimeliona kama mgombea Urais kupitia CCM analikiuka sana.
Lile tangazo linasema kuwa kama mgombea atakuwa jukwaani anamwaga sera basi atumie lugha ya Kiswahili tu, kama kutaonekana kuna haja ya kutumia lugha nyingine yaani native ya kikabila basi atafutwe mkalimani hili afasili na kufikisha ujumbe.
Cha kushangaza leo kuazia hile mitaa ya kina Kitwanga hadi Geita hadi kwa akina Msukuma hadi mwanza. Mzee nimemwona anakandamiza Kisukuma kwa sana. Hii lugha ya watani zangu ni nzuri kusikiliza maana hujui wanatumia ule ugali mgumu au nini, maana amekuwa anakandamiza njia nzima. Pia amekuwa anamwita Fisiti Ledi Mama yule mpole sana tena mwalimu naye anaanza kwanza kwa kukandamiza alafu anaomba kura kwa Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa kifupi wamekandamiza njia nzima.
Tunaomba mwongozo kwa vyombo vinavyohusika vitoe tafsiri kuhusu hili kwani linaweza kuchochea ukabila hapa Tanzania, na pia nimponge mgombea wa Urais kupitia CCM kwa kuwa ananadi sera zake bila kutumia lugha ngumu au kutupa mitusi kama baadhi ya wagombea wengine, kwani nimewaona wanakomaa na mtu binafsi, kashfa, mitusi na kujisahau kuwa watanzania wamekusanyika kusikiliza sera atawafanyia nini pindi watakapo mchagua, wanakuta kumbe akipata uongozi atakomaa na mtu flani.
Nani atamthibiti tunaposema tuna Katiba na Tume ya Ajabu ndio MatokeoTBC katika taarifa yao kwa maelekezo kutoka Tume ya Uchaguzi ya Taifa wametoa maangalizo mengi lakini mimi moja ambalo nimeliona kama mgombea Urais kupitia CCM analikiuka sana.
Lile tangazo linasema kuwa kama mgombea atakuwa jukwaani anamwaga sera basi atumie lugha ya Kiswahili tu, kama kutaonekana kuna haja ya kutumia lugha nyingine yaani native ya kikabila basi atafutwe mkalimani hili afasili na kufikisha ujumbe.
Cha kushangaza leo kuazia hile mitaa ya kina Kitwanga hadi Geita hadi kwa akina Msukuma hadi mwanza. Mzee nimemwona anakandamiza Kisukuma kwa sana. Hii lugha ya watani zangu ni nzuri kusikiliza maana hujui wanatumia ule ugali mgumu au nini, maana amekuwa anakandamiza njia nzima. Pia amekuwa anamwita Fisiti Ledi Mama yule mpole sana tena mwalimu naye anaanza kwanza kwa kukandamiza alafu anaomba kura kwa Rais, Wabunge na Madiwani. Kwa kifupi wamekandamiza njia nzima.
Tunaomba mwongozo kwa vyombo vinavyohusika vitoe tafsiri kuhusu hili kwani linaweza kuchochea ukabila hapa Tanzania, na pia nimponge mgombea wa Urais kupitia CCM kwa kuwa ananadi sera zake bila kutumia lugha ngumu au kutupa mitusi kama baadhi ya wagombea wengine, kwani nimewaona wanakomaa na mtu binafsi, kashfa, mitusi na kujisahau kuwa watanzania wamekusanyika kusikiliza sera atawafanyia nini pindi watakapo mchagua, wanakuta kumbe akipata uongozi atakomaa na mtu flani.
Ukiwa CCM kila kitu unaweza ukafanya ni ruksa.