Waliopo mkutanoni wote wanafahamu kisukuma kama hupendi kajinyonge. Hata mimi naanza kukimanya.
BTW nenda kawaambie tume ya uchaguzi kwamba rais anavunja kanuni kwa kuhutubia kisukuma kuliko Kiswahili, wakati wasikilizaji wengi ni Wasukuma na wanaifahamu ile lugha vizuri zaidi. Khe khe khe khe kheee. Mmeanza kuokoteza sababu ambazo hazima mashiko. Hivi upimbi huu mtaacha lini?