Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC

Wapinzani naona wanapiga mark time tu
Hawa watu wanajua fika kinachowakosesha ubungwa mara nyingi ni mgawanyo wa Kura
Kwanini Membe na Lissu wagombee wakati mmoja?
 
Mtu yeyote anayeamini kuwa Membe ni mpinzani basi huyo ana ukichaa ambao hata Mirembe hawawezi kuutibu

Kiongozi wa Act wazalendo alivuruga uchaguzi wa wapinzani (UKAWA) 2015 na mwaka huu, 2020 yale yale ya 2015 yatatokea!! Ni Magufuli ushindi slop slop 90% ya kura zote!!
 
Nadhani ACT wazalendo wangetumia akili kidogo kumnadi mgombea anaekubalika na watanzania kwa sasa. Kiukweli TL ndio chaguo la watanzania mambo ya kumchagua membe tunarudia makosa tuliyofanya law lowassa mwisho wa siku anarudi ccm.
 
hili ni pandikizi kuu la ccm, kazi yake kuu ni kuhakikisha anapunguza kura za upinzani.........mtanielewa siku fulani..
Mtaacha lini siasa za kutafuta kura za huruma? Ni kosa la kiufundi kuingia kwenye uchaguzi ukitegemea msaada wa chama kingne. Hakuna chama kilichoanzishwa kwa ajili ya kukisaidia kingine kushinda.
 
Hata media coverage imeipa very minimal publicity ACT. Hakuna wa kumshinda baba leo Magufuli.
 
Mtaacha lini siasa za kutafuta kura za huruma? Ni kosa la kiufundi kuingia kwenye uchaguzi ukitegemea msaada wa chama kingne. Hakuna chama kilichoanzishwa kwa ajili ya kukisaidia kingine kushinda.
endelea na usingizi wako mkuu.
 
... yuko kazini hivyo!
Yaaani anatupotezea muda tu......... Usikute kila siku anafanya retirement kule ofisi za tiss kwa kueleza Mikakati ya act na wapinzani......

Maccm sio majitu ya kuyaamini kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…