Mgombea Urais matumizi yaongeza hadi Bil 5

As for 5bnTsh just for election!!!!!!!!!!!people are starving and the government officials are insisting on using that huge amount money on election!!!!!!!!
 
 
Ilipata kusemwa sheria hii ni nzuri lakini nia yake ni mbaya ni dhahiri sasa uovu wa sheria hii unaonekana waziwazi baada ya kupitisha rasimu ya kanuni kwa maana kama hauna hayo mamillioni hauwezi kuwa kiongozi hata kama unazo sifa stahiki kwa sababu sasa wapiga kura walafi watangoja hizo fedha millioni 50 hata kama hauna. Nia ya kununua uongozi sasa inapewa baraka na sheria. Takukuru kazi kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…