Simba anahitaji kumfunga Yanga zaidi ya mechi kumi ndio alingane na idadi ya mechi Yanga alizomkalisha. Hata mechi mbili za mwisho bado Simba kwa Yanga anapumulia mashine. Hata Yanga queens inatosha kuwanyamazisha.
Yanga ni kikundi fulani ambacho kiko disorganised kuanzia kwenye management uongozini mpaka timu uwanjani, kuwaita watani ni sawa kabisa, ila Yanga hawajawa na uwezo wakuitwa washindani wa Simba SC.
Wazee wa historia!! Wamebakiza kumbukumbu: Nilikuwa natembelea V8 na kuvaa suti Kali! Ila kwa sasa hata baiskeli ya mbao hana, anatembelea msuli na kandambili miguuni!! Ndio yanga mabingwa wa kihistoria! Ukitaka kuwaona tembelea jumba la makumbusho!!!
Wazee wa historia!! Wamebakiza kumbukumbu: Nilikuwa natembelea V8 na kuvaa suti Kali! Ila kwa sasa hata baiskeli ya mbao hana, anatembelea msuli na kandambili miguuni!! Ndio yanga mabingwa wa kihistoria! Ukitaka kuwaona tembelea jumba la makumbusho!!!