Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM mwaka huu ni kama Lowassa wa 2015, watu (watoto) wanafurika kwenye mikutano yake lakini hana cha kuwaambia

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CCM mwaka huu ni kama Lowassa wa 2015, watu (watoto) wanafurika kwenye mikutano yake lakini hana cha kuwaambia

Magufuli na CCM yake walishashindwa miaka mingi Sana katika nchi hii,wanategemea dola kuweza kubaki madarakani ila hawana jipya,naamini Watanzania milioni 40 tu wangekuwa na akili na mawazo kama yangu huyu Magufuli na CCM yake tungewaondoa pale Magogoni kwa viboko tu tena vya mbua wa mtama au mhindi
 
Nyie watumwa hamumjui JPM. Jembe linajiamini. Kwani maji hayako katika ilani ya mwaka huu??!! Sio wajinga Fulani wanatumwa kwa makusudi kwenda kuharibu tu mikusanyiko ya JPM. Nakuhakikishia yule jamaa atampa tu kura JPM kama kweli anayataka maji.
Anajiamini kwa sababu CCM inashikila dola miaka zaidi ya 50 na Watanzania wengi Bado wajinga Sana.
 
So Lissu nae alinunuliwa na Lowassa?[emoji3]
Lowasa acha kumtaja hadi Lisu alifika bei kununuliwa ni Slaa na Lipumba tu ndio waligoma kufika bei

Rushwa upinzani walio clean ni Lipumba na Slaa tu the rest ni crap wala rushwa wakubwa
CCM Hawatubabaihi
 
Katambi VS Lissu
Same level ya mdahalo...
Mgombea wa CCM come on man, wewe ni Rais eti Acha mzaha, kuwa serious kidogo kwenye Kampeni zako, BE BOLD AND REQUEST MDAHALO NA LISSU ikibidi umwage Sera zako[emoji848][emoji87][emoji87][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji1544][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
 
Lisu anauzika akisindwa uraisi CCM tunamnunua tena kwa bei ndogo tu ya bure
 
Nakumbuka 2015 nilihudhuria mikutano mitatu mikubwa ya Lowassa lakini niliishia kufedheheka sana, Huyu ni Kiongozi ambaye nilimpenda tangu nilipomwona mwaka 1994 akiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, alikuwa mahiri mno katika kuzungumza, haiba ya kuvutia na mvuto wa Ujana na pesa.

Nilihudhuria Mkutano wake wakati anatangaza nia Sheikh Amri Abeid Arusha, nikahudhuria kampeni zake Jangwani na Mwanza

Lazima niseme nilifedheheka mno, Watu walihudhuria Kampeni zake kwa Mamilioni lakini tuliishia kuhutubiwa na Sumaye na Mzee Kingunge huku Mgombea Lowassa akionekana kuishiwa maneno kabisa ya kusema, alikuwa mpole mnooo.

Fast forward 2020, tunaye Mgombea wa CCM.

Anatembea na Kitabu cha Ilani ya chama chake lakini the most anaweza kusema ni kutaja idadi ya kurasa katika kijitabu hicho, Hana akimaliza kutaja Idadi ya kurasa ya kijitabu hicho anakumbuka Madaraja yake, Flyovers zake na ndege zake, kuna shida gani hadi anakuwa fixated na Haya matofali tu?

Anapata Maelfu ya Watu(watoto na wasanii to be precise) lakini hana cha kuwaambia yani, sana sana akifungua mdomo anashia kugombana na voters na kuwatisha Badala ya kuomba kura, kheee!

Naamini kina Bashiru Watakuwa wamempiga lectures za kutosha kuhusu mambo anayopaswa kuongea, lakini Sasa anaishia tu kucheza Muziki wa Lissu. JK atakuwa anacheka mnooo.

Mgombea wa CCM come on man, wewe ni Rais eti Acha mzaha, kuwa serious kidogo kwenye Kampeni zako, BE BOLD AND REQUEST MDAHALO NA LISSU ikibidi umwage sera zako🤔
Hii Ina nikumbusha jinsi Mkapa alivomsambaratisha Mrema kwenye mdahalo Mwaka 1995!
Professa Baregu alijuta kunifahamu Mrema!
Ndio maana Kuna watu ukimwambia mdahalo wanaweza kukutukania mama yako!
 
Back
Top Bottom