Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA azidi kupoteza kura toka kwa wananchi

Narudia tena
Chadema wakipata wabunge 5 nitafutwe
 
View attachment 1567397 makamanda wamepandishwa kwenye fuso
Baada ya kuona Ccm mna andamwa sana mmekuja na mkakati mpya wa kuweka bendera za Chadema kwenye malori mnayo jazwa kama mbuzi wanao pelekwa mnadani. Mnaweka bendera za Chadema kupoteza watu. Onyesha fulana japo moja ya chadema huko kwenye lori
 
Baada ya kuona Ccm mna andamwa sana mmekuja na mkakati mpya wa kuweka bendera za Chadema kwenye malori mnayo jazwa kama mbuzi wanao pelekwa mnadani. Mnaweka bendera za Chadema kupoteza watu. Onyesha fulana japo moja ya chadema huko kwenye lori
 
Baada ya kuona Ccm mna andamwa sana mmekuja na mkakati mpya wa kuweka bendera za Chadema kwenye malori mnayo jazwa kama mbuzi wanao pelekwa mnadani. Mnaweka bendera za Chadema kupoteza watu. Onyesha fulana japo moja ya chadema huko kwenye lori
Bendera huzioni? Au tayari umekula Konyagi?
 
Jamani acheni kuhangaika na huyo mtu,huyo ni shetani (Shaitwan) aliyetujia kwa njia ya kibina adam.Ukimfuata umeumia.Njia nzuri nikujilinda na Mwenyezi Mungu kutokana na shetani huyu.
 
Hapana Lissu na wewe wote mmekosea ghalama za mradi JNHPP ni siri kama ile ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Chato na ununuzi wa ndege. Ghalama anazijua anayelipa tu.
 
Hapana Lissu na wewe wote mmekosea ghalama za mradi JNHPP ni siri kama ile ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Chato na ununuzi wa ndege. Ghalama anazijua anayelipa tu.
Una uhakika na ulichoandika?
 
Kumbe Bando la Buku 7 lina chelewa kuisha ..adi mzee wenu aludi kutoka mapumzikoni litakuepo bado
 
Kwa hiyo unajiandaa kuchukuwa dola au unajiandaa kurudi msituni?
Nimesikia mjomba Magufuli hana mshindani ameamua kwenda mwendo pole ili kutimiza ratiba tu.
 
Kila inayoitwa siku Lisu anapoteza kura kwa ahadi zisizotekelezeka na kauli zake tata.

Wananchi wamempima wameshaona hawafai.
 
Pumba tupu hii umeweka hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…