Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #41
Sawa, bado siku 46 alafu mtapata majibu.Pumba tupu hii umeweka hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, bado siku 46 alafu mtapata majibu.Pumba tupu hii umeweka hapa
Ndio upuuzi ambao Lissu anawadanganya? Subiri mwakani uanze kupikia umeme.CCM kama mlishindwa kuitumia gesi ya mtwara kutuondolea kero ya umeme ,msilaghai wananchi kwa huo mradi wa kifisadi wa Stigler's gorge
Kama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Hii ndio siku ambayo nilijua Tundu hafai hata kuwa mjumbe wa mtaaKila inayoitwa siku Lisu anapoteza kura kwa ahadi zisizotekelezeka na kauli zake tata.
Wananchi wamempima wameshaona hawafai.
Sasa si ungekaa kimya.Umemaliza kuandika? Haya kavute kipisi cha bangi ulichokiacha!
Hii ndio siku ambayo nilijua Tundu hafai hata kuwa mjumbe wa mtaa
Naona aibu mimi😥😥Aibu kubwa sana.
Kosa sio la Ccm usiwalaumu. Mliokota wagombea ambao hawako makini. A wanaandika Q. Hii ni kwa sababu wananchi wengi waligombea kupitia Ccm baada ya kuona imekuwa tamu.Nyie CCM hebu acheni kuomba ushindi wa mezani hamuoni aibu? Rudisheni wagombea wote kama nyie vidume kweli ili mpambane na hao mnaowaita wamekufa kwenye sanduku la kura.
Miaka 5 mnaongea peke yenu...sasa kuomba ushindi wa mezani wa nini??
Wagombea wanarudishwa kwa mujibu wa taratibu na sheria za uchaguzi na sio kwa maneno au msukumo wa wafuasi wa chama.Nyie CCM hebu acheni kuomba ushindi wa mezani hamuoni aibu? Rudisheni wagombea wote kama nyie vidume kweli ili mpambane na hao mnaowaita wamekufa kwenye sanduku la kura.
Miaka 5 mnaongea peke yenu...sasa kuomba ushindi wa mezani wa nini??
Hamna cha taratibu wala nini...hii ni aibu kubwa sana!! Ushindi wa mezani kweli? Yaani CCM kuomba ushindi wa mezani looh!!Wagombea wanarudishwa kwa mujibu wa taratibu na sheria za uchaguzi na sio kwa maneno au msukumo wa wafuasi wa chama.
Kama sheria na kanuni zinasema ukijaza fomu kwa dosari unaenguliwa, unataka waachwe?Hamna cha taratibu wala nini...hii ni aibu kubwa sana!! Ushindi wa mezani kweli? Yaani CCM kuomba ushindi wa mezani looh!!
Acheni utoto, hiki jambo lipo wazi kabisa ni hujuma!! hii ni aibu kubwa sana kwenu.Kama sheria na kanuni zinasema ukijaza fomu kwa dosari unaenguliwa, unataka waachwe?
Anazidi kuipotezea kura chama Cha m.kiti.Kama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Hujuma gani? Wengi mliwaokota baada ya wanaofaa kurundikana Ccm.Acheni utoto, hiki jambo lipo wazi kabisa ni hujuma!! hii ni aibu kubwa sana kwenu.
Imeisha hiyooooNi Magufuli tena View attachment 1567492
Sina uhakika mwaka 2012 ulikuwa na umri gani wakati wa ujenzi wa bomba la gesi toka Mtwara-Dar es salaam. Kama ulikuwa na umri wa kujitambua bila shaka utakuwa unakumbuka jinsi mradi huo ulivyopata ukinzani mkubwa sana kutoka kwa jamii ya watu wa kusini mpaka serikali ikapeleka kikosi cha kutuliza ghasia na watu walichezea kipigo kweli kweli.Kama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Huoni wanaweza kudondoka na kuvunja viuno na wanaenda kusikiliza pumba za kupinga maendeleo.