Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #81
Ggm wanatoa bil 9.2 kama Csr kwa halmashauri ya Geita. Nafikiri usidhanie kuwa mgodi kuwepo Geita ndio kila kaya ijengewe nyumba.Kama waliowahi kutoa CSR zitaje. Vijiji hivyo vina Hali mbaya Sana.
He unajuwa mabadiliko ya tabia nchi wewe? Na athari zake au unatetea tu ujinga mulioaminishwa na Magu?Acha kukurupuka, Kama unadai Mtera na Kihansi hazijatatua tatizo la umeme hapa Tanzania mbona mgao wa umeme tumeusahau toka JPM aingie madarakani?
Acha mbwembwe na kutoa sababu za kusema eti maji yatakuwa yamepungua tofauti na ilivyokuwa huko nyuma wakati wanafanya upembuzi yakinifu. Maji yote yanayotokea mto wa Ruaha mkuu yanakuja kuingia mto rufiji. Kwa hiyo hizo sababu ulizotoa hazina mashiko. Mwaka huu tu mto Rufiji ulifurika na kujaa mpaka ukaleta madhara kwa wananchi.
Nakuambia acha kukariri uongo wa Lissu eti hii ni nchi ya kitropiki. Mto rufiji unatributaries kubwa kama nne. Kubwa kabisa ni great ruaha river. Hauwezi kukosa maji ya kuzalishia umeme.He unajuwa mabadiliko ya tabia nchi wewe? Na athari zake au unatetea tu ujinga mulioaminishwa na Magu?
Sasa kama anapoteza si ukae kimya ufurahieKama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Usiingilie haki yangu ya msingi ya kujieleza.Sasa kama anapoteza si ukae kimya ufurahie
Kama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Kinachoniuma ni kulazimisha kujaza watu wakati Chadema imetoswa na Watanzania
Kwa hiyo mikataba iwekwe hadharani kwenye magazeti?Kwani wewe umeoneshwa mkataba wake kwanini mikataba yenye bei inadichwa kinyume na sheria halafu yanabakia maneno tu ya mdomoni, kwa jinsi tulivokwishadanganywa hakuna anayeweza kuamini hayo maneno bila kuona mkataba. Watanzania siyo wajinga kama wewe ambaye unatamka pesa unazoambiwa badala ya kuona hiyo gharama kwenye mkataba.
Kuna ubaya gani kuweka mkataba wake hadharani kuna nini kinafichwa na ni nani anatoa hizo pesa wote tunafahamu kuwa makusanyo yetu kwa mwezi ni trillion 1.4 na wage bill kwa mwezi ni billion 700 na malipo ya madeni ambayo tume shaka pa kila mwezi ni billion 700 sasa hizo trillion za kujenga bwawa la umeme kwa pesa zetu ni zipi wakati makusanyo yetu ndiyo hayo. Kwanini tunadanganywa kama tumekopa tuambiwe tumekopa wapi na masharti gani ya hiyo mikopo.
Kuhoji kuweka wazi mikataba ya hiyo miradi mikubwa ya serikali pamoja vyanzo vyake vya mapato ni haki ya kila mtanzania sasa kwanini mgombea akose kura kwa kuhoji mambo ya msingi kama hayo. Labda wewe ambaye bado unaweza kudanganywa ndo unadhania na watanzania bado wanadanganyika kama wewe.
View attachment 1567854 punguza mihemuko acheni kusomba watu kwenye fuso
[emoji3]
CCM wanasombwa na mafuso kwenda kwenye mikitano.hawa chadema wanatembea kwa miguu kwenda kwenye mahubiri.
View attachment 1567876 pesa kutoka kwa bwana Roberts zinatumika kusomba watu
Naona una hasira kali sana Kaka, vumilia siasa ndivyo zilivyo.Endelea kuonyesha UFINYU wa akili unadhani hiyo Serikali dhalimu ingekuwa haijapora hizo pesa? PUMBAVU!
Hebu niambie umegundua nini ndugu😁😁Ukitaka kufurahi kwenye huu uzi soma comments moja baada ya nyingine utagundua mambo mengi sana, Kama si mvivu fanya hivo
Naona huna la kuandika,sasa unaleta habari za kipuuzi,anapotea mbona baba yenu aachi kufanya kampeni na ndio anazidi kuomba watu wasimuache wamchague tuu amalizie mitano,mshaurini akae kama Lissu hana mvutoKama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Mfano mmoja watu wanavyolazimisha kuunga mkono vitu ambayo havina maana, eti watanzania hawana haja na mradi wa umeme!! Kama sio comedy kumbe ni nini sasa hicho.Hebu niambie umegundua nini ndugu😁😁
KimaKama wahenga wanavyosema unapokuwa unaongea na watu unatakiwa uwe mwangalifu maana kauli yako inaweza kukuponza. Na hiki ndicho kinachotokea kwa mgombea wa Chadema. Mdomo na kauli zake zinazidi kumponza na sasa kura zake zinazidi kupungua. Maana atleast watu walikadiria angepata hata kura laki mbili na nusu lakini sasa huenda akaambulia kura laki na nusu.
Mtu mwenye busara zako ambae unasaka kura kwa wananchi huwezi kusema kuwa mradi kama JNHPP hauna manufaa kwa wananchi. Na unaongea na mwandishi wa habari na kuanza kutoa takwimu za kutafuta kwenye mitandao eti gharama za kujenga mradi huo ni Usd bil 11wakati sio kweli.
Hivi ni mtanzania gani ambae hajui umuhimu wa huu mradi? Ni mtanzania gani ambae hajui kuwa gharama za huu mradi ni tril 6.5 ambazo ni sawa na Usd bil 3.3 kwa kukadilia. Kauli ya Tundu Lissu imewatia hofu watanzania sababu inaonyesha wazi hana nia ya kuwaondolea watanzania kero ya gharama kubwa za umeme kwa sasa.Sababu huu mradi utapokamilika ni wazi kuwa gharama za umeme zitakuwa chini.
Nimeshangazwa kusikia Tundu Lissu akisema eti serikali ya awamu ya tano haijafanya jitihada zozote kulinda rasilimali za nchi. Hivi Lissu amesahau kuwa madini kama Tanzanite na dhahabu yalikuwa yanatoroshwa kama nyanya na kwenda kuuzwa nchi za jirani? Lissu amesahau kuwa kuna ukuta umezungushwa Mererani na sasa Tanzanite haitoroshwi tena na mapato ya serikali yameongezeka?
Dhahabu nayo haitoroshwi hovyo na hii ni baada ya kuanzishwa kwa masoko rasmi ya dhahabu. Na masoko haya yamechangia kupata mapato makubwa kwa serikali.
Pia ameshangaza watanzania kwa kusema eti serikali ya awamu ya tano imewanyima haki za kunufaika na rasilimali zao wananchi wanaoishi jirani na migodi mikubwa. Hivi Lissu anashindwa kutambua kuwa awamu ya tano ilivyoingia wachimbaji wadogo wameruhusiwa kufanya shughuli zao bila bugudha. Walikuwa wanafukuzwa maeneo kama Mwakitolyo, Shinyanga lakini serikali ya awamu ya tano ikawaruhusu na kunyag'anya wawekezaji ambao walikuwa hawayaendelezi na kuwanyanyasa wakazi wa maeneo hayo.
Kwa ufupi huyu mgombea wa Chadema ni kama anajiabisha kuzunguka nchi nzima akipinga mambo ambayo hata kwa macho tu mtu mwenye busara huwezi kuyapinga. Na hii ndio inazidi kumpunguzia kura ambazo angezipata kama kifuta machozi kwa kuzunguka Tanzania.
Hahaha unaweza kutamani uwaulize kama hizo sim zao na laptops zao wanazotumia kucomment hapa jamiiforum zinatumia kuni au mkaaMfano mmoja watu wanavyolazimisha kuunga mkono vitu ambayo havina maana, eti watanzania hawana haja na mradi wa umeme!! Kama sio comedy kumbe ni nini sasa hicho.
angekuwa kweli anapoteza kura, huku wewe unapenda itokee hivyo (yaani apoteze kura), nina uhakika wa 100% ungenyamaza kimya na wala usingemtonya kama unavyofanya kupitia huu uzi wako.
nasemaga kila uchwao humu.... Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako!